Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Wanasahau sentensi zao wanahama na majumbani kwa muda, ukiwauliza wanasema mliwanukuu vibaya [emoji851][emoji851][emoji851]...!!! Dahh..!! Anyway ndo tumepumzika chalinze tunastua kutoa uchovu kumi na mbili tunaliamsha....
Dah wapi iyo
 
Kwa hiyo wametoka kujisaidia hata kupandisha sarawili issue, halafu ndo binti anakuletea huyo kukutambulisha kuwa ni mkweo mtazamiwa...!! Kwa uwezo ulionao wa Msata kilingeni utamfanyaje.. [emoji125][emoji125][emoji125]
Nikipata nafasi tukabaki wawili tu namgeuza mchuchu[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…