Pombe za asubuh
Kama mimi mkuu!
Lakini usiku waudumu wananfukuza,bar wanazonijua wananuna!apa yenyewe nmeshaliamsha dude!
i noma zinakuchkua mapema sna[emoji23] mm bia moja tu nmepiga
Nahsi za jana zote znarudi
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nmerudi home namalizia kiporoWadau mpo?. Mi nimeshaachika ndio naanza kujenga nchi.
Kikosi cha mizingaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wadau mpo?. Mi nimeshaachika ndio naanza kujenga nchi.
Mi nimeshaanzisha dude.
Umeniogopesha mkuu dah!
Bob wazee hawawezi kukuzingua hapo[emoji23]
Empty bottles[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji123]
Pambana kaka hizi zipo baada ya kumeki usije ukakosa mshiko.Mimi bado natumika
Waache kutuita walevi[emoji23] [emoji23] watutambue rasmi kama walipa kodi tena watiifuMimi bado natumika
Chuga Moshi huku ni burudani tu, hakuna kufuatiliana labda wawe na shaka na njia zako.Bob wazee hawawezi kukuzingua hapo[emoji23]
Ova
Safiiii hvi bar ya malindi bado ipo hapo moshi nililewa sku moja hapo walinzi tulizinguana sana mpk difenda zinatumikaChuga Moshi huku ni burudani tu, hakuna kufuatiliana labda wawe na shaka na njia zako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mambo yangu hao ya usiku!
Mchana au asubui,hapana.
Nivyema kama unajitambua mkuu inatupa faraja kua ni mtu makini.Mambo yangu hao ya usiku!
Mchana au asubui,hapana.
Ipo na bado ile biashara haramu ya pachuchi inaendelea mkuu.Safiiii hvi bar ya malindi bado ipo hapo moshi nililewa sku moja hapo walinzi tulizinguana sana mpk difenda zinatumika
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova