Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Wapuz wale wanangalia sura waanababaikia
Nisha wapaga makavu zamani hapo
Pale ni kwenda kukaa kauntaa tu

Ova
Mimi niliwaambia wale wamama hapa mnabebwa na jina tuila huduma zenu mbovu. Tukiacha kuja sijui mtaishije lakini bado mnatufanyia mauzi.
Wanakera Sana. Ningekua owner natimua wote mpaka manager
 
Mi nilipapita enzi za JK. Kwa Octa kwa Octa kweli. Sasa hivi pamebaki jina.
Alafu hakuna watu nuksi kama wanywaji
Ukituzingua tunahama na konvoy letu wote
John feza alituzinguaga ah tukaambiana tukawa tunakunywa pembeni yake dukani kwa mangi bar ilikufaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Alafu hakuna watu nuksi kama wanywaji
Ukituzingua tunahama na konvoy letu wote
John feza alituzinguaga ah tukaambiana tukawa tunakunywa pembeni yake dukani kwa mangi bar ilikufaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Ndo dawa yao
 
Mimi niliwaambia wale wamama hapa mnabebwa na jina tuila huduma zenu mbovu. Tukiacha kuja sijui mtaishije lakini bado mnatufanyia mauzi.
Wanakera Sana. Ningekua owner natimua wote mpaka manager
Alafu hakuna watu nuksi kama wanywaji
Ukituzingua tunahama na konvoy letu wote
John feza alituzinguaga ah tukaambiana tukawa tunakunywa pembeni yake dukani kwa mangi bar ilikufaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Umoja wetu haujawahi kushindwa popote..
 
Mimi niliwaambia wale wamama hapa mnabebwa na jina tuila huduma zenu mbovu. Tukiacha kuja sijui mtaishije lakini bado mnatufanyia mauzi.
Wanakera Sana. Ningekua owner natimua wote mpaka manager
Mngempa makavu [emoji23] [emoji23]
Sisi hadi owner tulimpa makavu tu kahamia kwa jamaa pale kribu na ultimate

Ova
 
Mngempa makavu [emoji23] [emoji23]
Sisi hadi owner tulimpa makavu tu kahamia kwa jamaa pale kribu na ultimate

Ova
Alikuwa anazuzuliwa na yule mhudumu mwenye tako... Lakini pia hata ishu ya dokta ilichangia nadhani kama sikosei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…