upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Safi sana mdogo wangu.13 Mkuu Kama Ntakuwa na Kumbukumbu Nzuri, Nilikuwa STD VII
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana mdogo wangu.13 Mkuu Kama Ntakuwa na Kumbukumbu Nzuri, Nilikuwa STD VII
Yaah Nipo Nimetulia tu HomeOh poleee,uko home sasa??
Kwenye hii case nikikuita Mdogo wangu hakutokuwepo ubishiSafi sana mdogo wangu.
Ntakuja kukuona baadae,ugua pole dear,.Yaah Nipo Nimetulia tu Home
Mkuu Mshana Crew letu huwa tunasema "Lewa Mwili usilewe Akili"Kanuni tatu za ULEVI NA POMBE
1. Usijisahau wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Ukiweza kuzifuata hizi kanuni tatu utakuwa umefaulu mtihani wa pombe na ulevi... Ukifeli wewe HUTUFAI
Nilivyoingia ndani hata sjui nilingiaje nilala na viatu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ulifanikiwa kurala mwenyewe? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivyo ni viapo majuto ya hang over lakini ikiisha papo hapo koo linataka biaHapo ndipo pagumu....yaani hapa nilipo nina hang over balaa...kila siku ninajiambia sintokunywa pombe lakini nakuja kustuka nimeshalewa...hebu nishauri mpenzi
HatareHivyo ni viapo majuto ya hang over lakini ikiisha papo hapo koo linataka bia
Ndio tena sanaPombe nzuri bro ?
Inabidi nistue nitoe lock[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena ya kuzaliwaUlitumia akili sana
Muda huu kweli , wale jamaa wa crown na mabibi afya hawatakuzingua? au ndio viduka vya mangiInabidi nistue nitoe lock[emoji23]
Ova
Inabidi bia nizungushie mfuko wa rambo [emoji23] [emoji23] [emoji23]Muda huu kweli , wale jamaa wa crown na mabibi afya hawatakuzingua? au ndio viduka vya mangi