Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapa nilipo nnamning'inio hatari! Jmosi na Jpili ilikuwa balaa nazan ni dozi ya miezi 3 sigusi tungiKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Itafute buana,.Mimi ni Mtumiaji ila hio Pombe yako siijui
hahahahah, kunywa kama huyu hapaNinunulie kisichana cha baridi na bitter lemon cha moto[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]hahahahah, kunywa kama huyu hapa
View attachment 863579
Naomba nikununulie bia siku hizi mbili ....Si bora huyo aliyekumbuka kuvaa hata malapa? Kuna wanaosahau kuvaa viatu wanatembelea vya kulalia
Naomba namba yake manake mimi nimeacha pombeHii kitu ilinifanya nikose mke wa kisabato,,,,alinambia chagua kimoja kati ya '' Mimi na mi pombe yako" nikachagua mi pombe yangu
Wanawake bhana sijui wakoje!We mwambie akwende.atarudi tu...
Natumia asee
Usipotumia pombe utatumia nini mpenzi??nisaidie niache pombe mpenzi
Umejiunga JF ukiwa na umri gani mkuu?2015 Baada ya Kumaliza Kidato cha Sita, tokeo lilipotoka nilifurahi sana, nikasema ngoja leo nipige vitu.. Nilipiga Maji kinoma, kiroba, safari, k-vat, konyagi zote nilichanganya.. Bahati mbaya saana ilinyesha Bonge la Mvua.. walionibeba waliniambia walitembea kama hatua 100 hivi hawanioni.. kuja kunitafuta wanakuta Naelea juu ya Maji huko.. Pombe sio Chai..
Hapa penyewe nimetoka home nimenuniwa ***** walahi.Hiyo nayo ni changamoto common kwa wanywaji wote, mimi huwa nakunywa kwa raha sana lakini akili ikimkumbuka wife tu basi raha yote kwisha mana naenda kutana na balaa si mchezo
Hapo ndipo pagumu....yaani hapa nilipo nina hang over balaa...kila siku ninajiambia sintokunywa pombe lakini nakuja kustuka nimeshalewa...hebu nishauri mpenziUsipotumia pombe utatumia nini mpenzi??
inaumiza kichwa ni balaa ! hata ukinywa mbili , nadhani hiyo bia wamekosea kuipika .Hivi balimi ni bia nzuri... Nataka kuanza kulewa rasmi hivi punde.