Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....

CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Mkuu hapa nilipo nnamning'inio hatari! Jmosi na Jpili ilikuwa balaa nazan ni dozi ya miezi 3 sigusi tungi
 
Zaidi ya kutupiamo zote kama zote ila msisahau kutoa na ushauri hasa kwenye
Bajeti ya kilaji
Misosi kabla ya kuanza kuunguza mabandama[emoji23]
Hangover nknk
 
Ninunulie kisichana cha baridi na bitter lemon cha moto[emoji23][emoji23][emoji23]
hahahahah, kunywa kama huyu hapa
1536730215010.jpeg
 
2015 Baada ya Kumaliza Kidato cha Sita, tokeo lilipotoka nilifurahi sana, nikasema ngoja leo nipige vitu.. Nilipiga Maji kinoma, kiroba, safari, k-vat, konyagi zote nilichanganya.. Bahati mbaya saana ilinyesha Bonge la Mvua.. walionibeba waliniambia walitembea kama hatua 100 hivi hawanioni.. kuja kunitafuta wanakuta Naelea juu ya Maji huko.. Pombe sio Chai..
Umejiunga JF ukiwa na umri gani mkuu?
 
Hiyo nayo ni changamoto common kwa wanywaji wote, mimi huwa nakunywa kwa raha sana lakini akili ikimkumbuka wife tu basi raha yote kwisha mana naenda kutana na balaa si mchezo
Hapa penyewe nimetoka home nimenuniwa ***** walahi.
 
Back
Top Bottom