Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hii ina maanisha sio baba wa familia ni ka-teenager flani hivi ha ha ha!Mababa wa familia lazima uhakikishe unaimalizia pale pale kaunta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule kichaaa anatuchafulia jina la POMBE mpaka watu wanaona pombe haifai
IMG-20180909-WA0009.jpeg
IMG-20180908-WA0006.jpeg
IMG-20180905-WA0005.jpeg
IMG-20180904-WA0005.jpeg
IMG-20180802-WA0004.jpeg
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....

CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Hii thread haituhusu watumishi wa Mungu.

Naikemea ikapate kushindwa na kulegea kama mlevi wa gongo iliyochanganywa na mnazi.
 
Hii thread haituhusu watumishi wa Mungu.

Naikemea ikapate kushindwa na kulegea kama mlevi wa gongo iliyochanganywa na mnazi.
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji15][emoji15][emoji15][emoji35][emoji115][emoji115][emoji114][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtumishi baba paroko Asprin[emoji30][emoji30][emoji30]cc: dadaangu
 
Hii thread haituhusu watumishi wa Mungu.

Naikemea ikapate kushindwa na kulegea kama mlevi wa gongo iliyochanganywa na mnazi.
Mtumishi gani uloninyanganya manzi Wanguuu??? We zeee me nakulia timing ndo utajua we ni Aspirin au Panadol dadekiiiii
Labda ni mtumishi wa shetani au wale wa kunjunga
Bwana Yesu aligeuza maji kuwa mvinyo ulio bora wa kujaa mabalasi sita... Kila balasi moja ni sawa na Lita 300
Vilevile neno linasema mpe masikini POMBE, anywe! Alewe! Asahau shida zake! (Kumbuka ni MASKINI sio KICHAA)
Zaidi mabinti wa Lutu walipoona wanazeeka na baba jua linamchwea wakatengeneza mvinyo MKALI wakampa mzee baba POMBE akanywa akalewa zikashuka bondeni, nao wakanywa halafu hasi na chanya zikakutana... [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtumishi Asprin hayajui haya[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji23]
 
Back
Top Bottom