Nasikia masharti ya wanywaji wa konyagi hakuna kusimamisha chupa. Kulikoni?Kuna jmaa yangu kaja na mzingaaa [emoji23] [emoji23]
Anasema tuendeleze kazi
Ova
View attachment 872581
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nasikia masharti ya wanywaji wa konyagi hakuna kusimamisha chupa. Kulikoni?
Ah sisi tunawakimbiaaga tuWanywaji wana fitna mbaya sana.
Wamiliki wqnasahau wanywaji mara nyingi wanakuwa walewale baa flani. Mwishowe wanaambizana.
Kuna kibinti kimoja counter nipo na rafiki yangu imefika saa sita eti amechoka hawezi kuhudumia. Ni mzuri kweli kweli wanasema mmiliki anapumzika pale. Ila tulimwambia Meneja....sasa hivi ameondolewa
Nilihama kwa Octa nikahamia kwa salma pembeni,vipi bado pako ,maana dah long timeMi nilipapita enzi za JK. Kwa Octa kwa Octa kweli. Sasa hivi pamebaki jina.
Reading pub ......nmekja one timeNilihama kwa Octa nikahamia kwa salma pembeni,vipi bado pako ,maana dah long time
Mlevi ni MTU muhimu sana,si kwa serikali tu hata kwa mmliki wa bar ,km una bar/grocery humsikilizi mnywaji wako unafeliWanywaji wana fitna mbaya sana.
Wamiliki wqnasahau wanywaji mara nyingi wanakuwa walewale baa flani. Mwishowe wanaambizana.
Kuna kibinti kimoja counter nipo na rafiki yangu imefika saa sita eti amechoka hawezi kuhudumia. Ni mzuri kweli kweli wanasema mmiliki anapumzika pale. Ila tulimwambia Meneja....sasa hivi ameondolewa
Yule aliyengolewa meno au maana sku ile anatekw sisi tulikuwa bakulutu ambayo sahv ni govonorsAlikuwa anazuzuliwa na yule mhudumu mwenye tako... Lakini pia hata ishu ya dokta ilichangia nadhani kama sikosei
Ukitaka udumu na biashara ya bar usitembee na wfanyakazi wakoAlikuwa anazuzuliwa na yule mhudumu mwenye tako... Lakini pia hata ishu ya dokta ilichangia nadhani kama sikosei
One for the loadKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Chalii achaga uoga,ebu kirushe kwangu chap nikichangamkieHivi vijeba viwili nimevinunua tokea saa 11 jioni lakini kama naviogopa kuvinywa sijui kwanini [emoji23] [emoji23] View attachment 872646
Kimoko kipo nusu saa hii. Tatizo nimebet leo sitaki nilewe nitaliwa hela zangu. Nafuatilizia mikeka yangu ni turbo nipate hata hela ya supuChalii achaga uoga,ebu kirushe kwangu chap nikichangamkie
Nauliza kwa salma bado pako? Ukitoka kwa Octa ,unaenda/,unapita kwa salma ,juu pale unakula firigisi ,unasogea sogea hadi block 41
Unasema njia ya kuingiliaa kama una tokea 4wayz kwa sasaNauliza kwa salma bado pako? Ukitoka kwa Octa ,unaenda/,unapita kwa salma ,juu pale unakula firigisi ,unasogea sogea hadi block 41
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kimoko kipo nusu saa hii. Tatizo nimebet leo sitaki nilewe nitaliwa hela zangu. Nafuatilizia mikeka yangu ni turbo nipate hata hela ya supu
Ilikua nyuma kwa Octa, mlango wa NIDA unauona kwa pembeniUnasema njia ya kuingiliaa kama una tokea 4wayz kwa sasa
Nafikiri hayupo
Ova
Hayupo nahisiIlikua nyuma kwa Octa, mlango wa NIDA unauona kwa pembeni
OK,mie nilikua nakaa sana,kwa salma ,nikitoka pale naunga mebs kwa JacobHayupo nahisi
Ova
Duh we masterOK,mie nilikua nakaa sana,kwa salma ,nikitoka pale naunga mebs kwa Jacob
Na mipango wanajua sana mipango ya hela tunaongea bar......Mlevi ni MTU muhimu sana,si kwa serikali tu hata kwa mmliki wa bar ,km una bar/grocery humsikilizi mnywaji wako unafeli
Balaaa aOK,mie nilikua nakaa sana,kwa salma ,nikitoka pale naunga mebs kwa Jacob