[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee labda atokee mdau mwenye msiba unaomgusa moja kwa moja lakini hivi hivi hazichelewi kuelekezwa kwenye ujenzi wa kiwanja mlimani[emoji40][emoji40][emoji40]
never trust a politician hata kama ni baba yakoMwanasiasa akikwambia kumekuchwa usimuamini mpaka uhakikishe mwenyewe
Bidhaa tbs kakika.ππππHahahahah watu mna jicho khaa
Uti + mizizi?.Weekend yangu imeharibika kabisa niko kwa mganga amesema eti nina yutiyai hivyo natakiwa kuanza kumeza mizizi maramoja kabla haijapanda kichwani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kiti mbn huwa anatakaga kitungi muda mwingine[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana Haiwezekani kabisa
Kabisa Mkuu, penalty mbili wamekosa zote ,aaargh bora kulewa N,tay tu ,siku iisheJina huathiri muktadha [emoji23][emoji23][emoji23]
Sinasikia shetani kwa kiti akipanda anadaigi ugimbi au fegi ama ni story tuNdugu mjumbe sijakupata vema[emoji144][emoji144][emoji144][emoji115][emoji115][emoji115]
Shetani atakua mwanachama wa walipa kodi π π π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyo shetani wa kisasa