Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Mkuuu tunahamia counter sasa,naona wahudumu wanachelwa tu
1537547270839.jpg
 
Kna wakati fulani tulipiga tungi siku 27 non stop na wanywaji wenzangu aise tulikuwa kma maiti kila mtu hoi

Ova
Hahahahhahaha hiyo lazima mkuu,
Tungi muda mwingne linachosha Sana
Ila wacha tuzipige tu maana hakuna namna sasa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Leo nakula gambe hadi kesho nihisi ni birtbday yangu. ... nshampanga boda boda hapa tym flan apite maana ntakua vyombo hatari
 
Back
Top Bottom