Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Ndio ndioDah mi wazee mpaka kesho ndio nitastua nikishuka town Nina kiu kinyama!!
Nilivyopania mvinyo,haiezekani nitafute hela alafu niteseke namna hii!!
Alafu kwani kazi ya ini nini?
HakikaaAcha tulewe tu leo.... atujui kesho tutaamkia wapi... maybe kwa Mungu au upande wa pili
Acha tulewe tu leo.... atujui kesho tutaamkia wapi... maybe kwa Mungu au upande wa pili
Tuongeze speed wakubwa,jambo la muhimu hiliHakikaa
Usije kulishwa supu ya nyaniKabla cjaingia lindo nataka nipite sehemu kutia Baraka na nia kdg
Huku nilipo nyani,umbwa ,paka ,panya kawaida tu, sio kesi,hasa muda huuUsije kulishwa supu ya nyani
ni sasa kula kitimoto chako halafu wanaleta bia kama huyu sista bila bili na nishamuambia aleteNdio ndio
Maisha yafaa nini bila pombe
Nimeiona nimeiona balantine[emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 873751 micasa tabata ryt nw
NakogoaaaaaaaMida ya wangaView attachment 873779
Mpo bado bundi mpaka saizi kweli nyie hamsha popo ka mi Mimi hii wikiendNakogoaaaaaaa
Mkuu nawakilisha arusha hawa wa mikoa mingne naona bado wako kweny majukumHivi Mbagala hakuna wanachama walipa kodi? Mbona wako Kimya sana?
Tanga je? Na mikoa mingine vepee? Mnatuangusha