Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Dah mi wazee mpaka kesho ndio nitastua nikishuka town Nina kiu kinyama!!
Nilivyopania mvinyo,haiezekani nitafute hela alafu niteseke namna hii!!
Alafu kwani kazi ya ini nini?
Ndio ndio

Maisha yafaa nini bila pombe
 
IMG_4934.JPG
micasa tabata ryt nw
 
Kama kawa huku pande za Atown nimeona nliamshe dude na leo ni jmos job half day nimeamka geto nimewasha tv mixtape kali inapigwa hapa BoXAfrica nikaona niisindikize na value ndogo adi mda wa job nichomoke chap niingie nikiwa Lock yan amna kelele ming ni kucheza na Click-mlio wa mouse na Hzo *Ctrl+ENTER*
 
Back
Top Bottom