Tatizo unachunguza sana, nyie ndio mnasababisha tuonekane wafuasi wa milupo kumbe sio kweli.Naona mkao na mkaaji hapo
Hilo ombi wachana nalo litatuletea balaa mwenyekiti.Ombi limepokelewa ndugu katibu ngoja niandae petition tuipeleke bungeni
Hapana mapendezo yatatoka kwetu... Kwa mfano tunasema hiviUsifanye hivyo maana wanaweza kutupatia waziri kichaa ile kwetu.
Katibu mkuu umekuja kuwaje?.
[emoji23][emoji23][emoji23]huyo jamaa mwenye ndala ana makanyagio marefu kuliko yeye[emoji23][emoji23]Itabidi nkupatie kimoja nletewaga na mzee mmja mywaj Dah Ngj niongezee nyagi hapa
Tena nmekja kwenye wauzaji wa vileo wa jumla
Ova
View attachment 875645
[emoji23][emoji23][emoji23]huyo jamaa mwenye ndala ana makanyagio marefu kuliko yeye[emoji23][emoji23]Itabidi nkupatie kimoja nletewaga na mzee mmja mywaj Dah Ngj niongezee nyagi hapa
Tena nmekja kwenye wauzaji wa vileo wa jumla
Ova
View attachment 875645
[emoji23][emoji23][emoji23]huyo jamaa mwenye ndala ana makanyagio marefu kuliko yeye[emoji23][emoji23]Itabidi nkupatie kimoja nletewaga na mzee mmja mywaj Dah Ngj niongezee nyagi hapa
Tena nmekja kwenye wauzaji wa vileo wa jumla
Ova
View attachment 875645
Hapo nitaunga mkono hoja kwa kura ya ndiiiiiiiiiiiiiiiiiyo!Hapana mapendezo yatatoka kwetu... Kwa mfano tunasema hivi
Sisi walipa kodi number moja Tanzania tunapendekeza Mwenyekiti wetu (mimi)... MAKOFI TAFADHALI[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji122][emoji122][emoji122][emoji106][emoji123][emoji109][emoji111]awe mwakilishi wetu bungeni kwa ngazi ya uwaziri... Hii imekaaje wakuu[emoji115][emoji115][emoji115]π€π€[emoji23][emoji817]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115]basi basi nshamrekebishaUtakua umelewa mkuu cheki hata aina ya pombe unitake radhi. Angalia na mavazi na viatu, au nikusemee kwa mwenyekiti?.View attachment 875651
Okay okay nimekuheshimu mwenyekiti nilitaka nilete malalamiko kwako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115]basi basi nshamrekebisha
Sikumwelewa ila sasa umenifumgua akili nimemwelewa na ninamtaka radhi mlipa kodi mwenzeatu πππ.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakuapia umelewa au hujaelewa alichomaanisha
Okay okay nimekuheshimu mwenyekiti nilitaka nilete malalamiko kwako.
Limeshaisha hilo atapigwa fine ya jibapa na roast kavu kilo moja [emoji23]
Faini imefutwa. Case closedSikumwelewa ila sasa umenifumgua akili nimemwelewa na ninamtaka radhi mlipa kodi mwenzeatu [emoji119][emoji119][emoji119].
Hakika Case imeisha.Faini imefutwa. Case closed
Mkuu nimetenda dhambi mbaya sana leoo[emoji134]Naona mkao na mkaaji hapo
Bado nipo, natafuta kiwanja cha kwenda. Japo nikasuuze macho. View attachment 875699
Kuthaminisha ni ujasiri pia..?