Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

7e2c212a-f8c1-4868-a17e-ca2178559c6a.jpg
picha lilianza hivi kihome home
 
Jana nlikuwa chimbo moja usiku pub hyo kaunta alilewa wahudumu nao walilelewa bsi ilikuwa off off nlipona naagizia safari naletewa castlelite Dah nkasema hapa taayari
Nlipiga bia 3 dezo ktk bia 5 anasema mbili tu na Daiwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Katibu kapumzike.. Lugha inachora mistari [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapana mapendezo yatatoka kwetu... Kwa mfano tunasema hivi
Sisi walipa kodi number moja Tanzania tunapendekeza Mwenyekiti wetu (mimi)... MAKOFI TAFADHALI[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji122][emoji122][emoji122][emoji106][emoji123][emoji109][emoji111]awe mwakilishi wetu bungeni kwa ngazi ya uwaziri... Hii imekaaje wakuu[emoji115][emoji115][emoji115][emoji848][emoji848][emoji23][emoji817]
Cheers, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom