Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 675
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua embassy mbili mwananguNimesogea kwamangi nachukua fegi namalizia naingia geto.
Walipakodi mnisamehe nimechoka na nahitaji kuolewa mapema saa 05:00View attachment 875640
Kweli mwisho wa SIMU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hongera sana mlipa kodi.. Heshima UK kubwa kwako na chama zima la wanaView attachment 875781 mwisho wa simu ikawa hivi ngoja niingie lachaaz chap kumaliza weekend nje na nyumban
Mkuu..inaonekana wife ni terror sana kwako..?Hiyo nayo ni changamoto common kwa wanywaji wote, mimi huwa nakunywa kwa raha sana lakini akili ikimkumbuka wife tu basi raha yote kwisha mana naenda kutana na balaa si mchezo
Katibu kapumzike.. Lugha inachora mistari [emoji23][emoji23][emoji23]Jana nlikuwa chimbo moja usiku pub hyo kaunta alilewa wahudumu nao walilelewa bsi ilikuwa off off nlipona naagizia safari naletewa castlelite Dah nkasema hapa taayari
Nlipiga bia 3 dezo ktk bia 5 anasema mbili tu na Daiwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Duh nmejenga gorofa kwa kutumia chupa nyagi mzigo jana na today zmekwosh a[emoji23] [emoji23]Katibu kapumzike.. Lugha inachora mistari [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu katibu hiki ni kipaji kama huyu ndugu aliyepindua hili dudeDuh nmejenga gorofa kwa kutumia chupa nyagi mzigo jana na today zmekwosh a[emoji23] [emoji23]
Ova
View attachment 875817
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndugu katibu hiki ni kipaji kama huyu ndugu aliyepindua hili dudeView attachment 875838
Utafika mbinguni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mwenyekiti ngj nmalizie imebaki kdg
Ova
View attachment 875850
Hapa nko tungi Baya angekuw mwingn lazima abebw [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Utafika mbinguni
Macho kaka,na hii miwani tatizoTatizo unachunguza sana, nyie ndio mnasababisha tuonekane wafuasi wa milupo kumbe sio kweli.
Mkuu namwona mshkaji wangu valuu pale pembeni amelala, hivi amechoka au bado yupo strong, mwambie aluta kontinyuaNimesogea kwamangi nachukua fegi namalizia naingia geto.
Walipakodi mnisamehe nimechoka na nahitaji kuolewa mapema saa 05:00View attachment 875640
Cheers, [emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mapendezo yatatoka kwetu... Kwa mfano tunasema hivi
Sisi walipa kodi number moja Tanzania tunapendekeza Mwenyekiti wetu (mimi)... MAKOFI TAFADHALI[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji122][emoji122][emoji122][emoji106][emoji123][emoji109][emoji111]awe mwakilishi wetu bungeni kwa ngazi ya uwaziri... Hii imekaaje wakuu[emoji115][emoji115][emoji115][emoji848][emoji848][emoji23][emoji817]
Aseeee....Kiu imerudi tena ngoja niongezeBado nipo, natafuta kiwanja cha kwenda. Japo nikasuuze macho. View attachment 875699
Mh mh mh mhh, mkuu huyo mdada anafaa kumalizia chenji