shokoshugi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 269
- 390
Hilo Jug kaka mkubwa naona havipandi kabisa kichwani , watu wamevikimbia ukumbiniHilo ni jug au ni mug au ni glass?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo Jug kaka mkubwa naona havipandi kabisa kichwani , watu wamevikimbia ukumbiniHilo ni jug au ni mug au ni glass?😂
😂😂😂 kitambo sana na Jagi limekata na maskani nishafikaIroge kidogo na mwitu upate ladha
Huwa naitumia kama maji ya kunywa.Hivi savannah inanywewa na wanaume siku hizi?
Nyama ina mafuta hatariii.Jumapili mwanana
View attachment 3193152
Hii mada haipoi. Nahisi rafiki kipenz Sanday mwakanosa ilimpeleka hii.
Kwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno.
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo. Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi. Zile za ofa na hata za kwenye sherehe.
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza.
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE!
Yaa hii ni mwendo wa kwenda kuziba mishipa ya moyoNyama ina mafuta hatariii.
Nimetamani Supu hiyooo. [emoji39][emoji39][emoji39]
Kwa kweli,Yaa hii ni mwendo wa kwenda kuziba mishipa ya moyo
Kwa kifupi mimi nimeishi mataifa kadhaa. Sikufanya kufuru sana ya ulevi , umalaya. Mengine sifanyi kabisa kabisa yake hasa ambayo sikuyataja.
Nipo pub moja nikipata pombe. Nawaona vijana wa kati ya 26-31 age. Umri wangu huu sikuwa bar kama wao. Nawaona mahandsome boys, na watoto wa kike wamewazunguruka.
Nikiwa na umri wa 27 nilikuwa taifa moja barani Asia. Niliingia club na wasichana wa kichina, ki Lithuania, Russian, Nepal, Bangui nk walikuwa wakitafuta mtu....nilifanikiwaga kupata demu wa kihindi, very beautiful..wahindi baadhi ni warembo sana.
Kwa kuwa nilikuwa mgeni nilimueleza ukweli akanielewa kwamba sikuwa na nia ya kutafuta kahaba. Akasema. What is the point 👉 we talk next day.
Hii itaendelea, nimelewa..I can't write properly
Mtu akilewa anaweza kumwambia yeye ndiye alimwambia Trump agombee Urais.Kwa kifupi mimi nimeishi mataifa kadhaa. Sikufanya kufuru sana ya ulevi , umalaya. Mengine sifanyi kabisa kabisa yake hasa ambayo sikuyataja.
Nipo pub moja nikipata pombe. Nawaona vijana wa kati ya 26-31 age. Umri wangu huu sikuwa bar kama wao. Nawaona mahandsome boys, na watoto wa kike wamewazunguruka.
Nikiwa na umri wa 27 nilikuwa taifa moja barani Asia. Niliingia club na wasichana wa kichina, ki Lithuania, Russian, Nepal, Bangui nk walikuwa wakitafuta mtu....nilifanikiwaga kupata demu wa kihindi, very beautiful..wahindi baadhi ni warembo sana.
Kwa kuwa nilikuwa mgeni nilimueleza ukweli akanielewa kwamba sikuwa na nia ya kutafuta kahaba. Akasema. What is the point 👉 we talk next day.
Hii itaendelea, nimelewa..I can't write properly