Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

MTWARA : Moja ya mikoa ya hovyo sana kwa nchi yetu bora tungewapa msumbiji hichi kijiji kilichochangamka , Achana na ujinga ujinga wa ofisi za uma nk, naamka na hangover baada ya kuchangia pato la serikali nafika machinjioni asubuhi na mapema (nimeshika kaschana mkononi) , nimenunua nyama za supu utumbo mixer nk nataka nikinge damu nitengeneze kisusio masheha wamening'ang'ania balaa wanasema hairuhusiwi wanahusisha na dini nk , hivi hii (injii) ikoje ?
 
MTWARA : Moja ya mikoa ya hovyo sana kwa nchi yetu bora tungewapa msumbiji hichi kijiji kilichochangamka , Achana na ujinga ujinga wa ofisi za uma nk, naamka na hangover baada ya kuchangia pato la serikali nafika machinjioni asubuhi na mapema (nimeshika kaschana mkononi) , nimenunua nyama za supu utumbo mixer nk nataka nikinge damu nitengeneze kisusio masheha wamening'ang'ania balaa wanasema hairuhusiwi wanahusisha na dini nk , hivi hii (injii) ikoje ?
Wanastahili kushtakiwa hao.. Washenzi Sana hao
 
IMG-20250126-WA0007.jpg
 
Tahadhari kabla ya hatari, pombe charger oko nchini .....
 
Back
Top Bottom