Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

MTWARA : Moja ya mikoa ya hovyo sana kwa nchi yetu bora tungewapa msumbiji hichi kijiji kilichochangamka , Achana na ujinga ujinga wa ofisi za uma nk, naamka na hangover baada ya kuchangia pato la serikali nafika machinjioni asubuhi na mapema (nimeshika kaschana mkononi) , nimenunua nyama za supu utumbo mixer nk nataka nikinge damu nitengeneze kisusio masheha wamening'ang'ania balaa wanasema hairuhusiwi wanahusisha na dini nk , hivi hii (injii) ikoje ?
 
Wanastahili kushtakiwa hao.. Washenzi Sana hao
 
Tahadhari kabla ya hatari, pombe charger oko nchini .....
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…