Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Mkuu mimi ndo naendelea hapa Savoy, bata kama bado anahema π¦π¦Wamenikera hawa jamaa kunimixia utumbo n mifupa.... anyway namalizia safari yangu na kusign off mapema leo from club sunset jeti lumo hii time hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu katibu hiki ni kipaji kama huyu ndugu aliyepindua hili dudeView attachment 875838
Kata mvinyo mkuu, tuzidi kujenga nchiNimefanikiwa toka ndani naanza countdown View attachment 875886
Unahitaji kuolewa ama kulewa!!?Nimesogea kwamangi nachukua fegi namalizia naingia geto.
Walipakodi mnisamehe nimechoka na nahitaji kuolewa mapema saa 05:00View attachment 875640
Huu ndio uzi wa kwanza ambao utakuwa hauna ukomo....hapa ni matukio ya gambe...endelevuUzi una page 72...
Nipo mwanzo..
Nimekuja mbele huku..Huu ndio uzi wa kwanza ambao utakuwa hauna ukomo....hapa ni matukio ya gambe...endelevu
Dah....mshana nmefuatilia bandiko zako hapa jf.....nakubali sana idea zako broh.....max melo mpatie cheo huyu mdau asee...ni mdau ambae ana upeo mkubwa sana...n hayo tuKwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Kumbe tulikuwa karibu mkuu ningekuja tuendeleze kulipa kodi hapoMkuu mimi ndo naendelea hapa Savoy, bata kama bado anahema π¦π¦
πππ€π€[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji115][emoji115][emoji115][emoji817]Yereee wiiiView attachment 875890
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Dah....mshana nmefuatilia bandiko zako hapa jf.....nakubali sana idea zako broh.....max melo mpatie cheo huyu mdau asee...ni mdau ambae ana upeo mkubwa sana...n hayo tu
Nimependa huo mpangilio[emoji23]Doh, kweli konyagi moja huanzisha nyengine [emoji848]View attachment 875941