Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Dah....mshana nmefuatilia bandiko zako hapa jf.....nakubali sana idea zako broh.....max melo mpatie cheo huyu mdau asee...ni mdau ambae ana upeo mkubwa sana...n hayo tu
 
Dah....mshana nmefuatilia bandiko zako hapa jf.....nakubali sana idea zako broh.....max melo mpatie cheo huyu mdau asee...ni mdau ambae ana upeo mkubwa sana...n hayo tu
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Jamani hizi pombe zinanikataa sijui nimelogwa!?

Yani nikinywa nahisi kuumwa nisipokunywa ndio kabisa maisha yanakuwa magumu.

Nikiona mizinga nahisi kichefu chefu. Mshana ebu check file langu kama limechezewa au liko sawa. [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…