bila kusahau kuzimaWakurugenzi walipa kodi kanda maalum ya vilevi njoni maramoja kwa kikao cha dharura
Nina wazo ambalo linahitaji michango na hatimaye ridhaa yenu katika ujumla wetu
Kaliba yetu hii ina uwanja mpana sana wenye kila aina ya vituko... Mnaonanaje kila siku moja tukawa na mada moja na kila mtu akichangia kwa uzoefu wake...
Mada za kuanzia
. kuchomekewa bili
. kuondoka na mhudumu[emoji85][emoji85][emoji85]
. kuibiwa gesti kwa sababu ya ulevi
. kunywa flat beer nk nk
Nasubiria baraka zenyu
Nakala kwa katibu
Umesomeka vzuri mwenyekiti....Wakurugenzi walipa kodi kanda maalum ya vilevi njoni maramoja kwa kikao cha dharura
Nina wazo ambalo linahitaji michango na hatimaye ridhaa yenu katika ujumla wetu
Kaliba yetu hii ina uwanja mpana sana wenye kila aina ya vituko... Mnaonanaje kila siku moja tukawa na mada moja na kila mtu akichangia kwa uzoefu wake...
Mada za kuanzia
. kuchomekewa bili
. kuondoka na mhudumu[emoji85][emoji85][emoji85]
. kuibiwa gesti kwa sababu ya ulevi
. kunywa flat beer nk nk
Nasubiria baraka zenyu
Nakala kwa katibu
Hahaaa! AliwawezaHahaha umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja yy alikua anajaza juke box lile elf 3 ,nyimbo moja tu ,Tamaa mbaya ya 20 percent basi, kisha anaagiza bia anakaa pembeni kunywa, mnatasikiliza hy nyimbo mpk mchoke
Nimekaribia ndugu mwenyekitiWakurugenzi walipa kodi kanda maalum ya vilevi njoni maramoja kwa kikao cha dharura
Nina wazo ambalo linahitaji michango na hatimaye ridhaa yenu katika ujumla wetu
Kaliba yetu hii ina uwanja mpana sana wenye kila aina ya vituko... Mnaonanaje kila siku moja tukawa na mada moja na kila mtu akichangia kwa uzoefu wake...
Mada za kuanzia
. kuchomekewa bili
. kuondoka na mhudumu[emoji85][emoji85][emoji85]
. kuibiwa gesti kwa sababu ya ulevi
. kunywa flat beer nk nk
Nasubiria baraka zenyu
Nakala kwa katibu
Kaunta rahaa bia hazicheleweshwi kupata ahhhNimekaribia ndugu mwenyekiti
Naam kaunta inatia KIU naona stock kwa mbali
Naunga mkono hoja zote ,maana nami nimewahi kukutwa na kadhia hyBaraka zako tafadhali
Napandisha mbilimbli [emoji23] [emoji23] [emoji23]Baraka zako tafadhali
Raha ya kaunta kuwe na mtoto mzuri mwenye ta.ko...zuri...hapo beer zinashuka fasta bila kikwazo
Sio upandishe hivi ?
Pembeni yupo mmja anacheza kama baikoko anakatika balaaaaRaha ya kaunta kuwe na mtoto mzuri mwenye ta.ko...zuri...hapo beer zinashuka fasta bila kikwazo
Safi sana....hapo beer inakuwa tamuPembeni yupo mmja anacheza kama baikoko anakatika balaaaa
Ova
Ndio mkuu umeipenda
Nimewasiliana na supplier wangu nipeni details za final destination nianze kusambaza bei 50tho. Mali adimu kupatikana. Watangazie na wengineMie niwe wa kwanza, km.vipi weka mnada Hahaha, radio imehisha kuliko glass
Yes, wish one day nije kuisikiliza