Nakutumia kabla ya hiyo one day. Endelea kutafuta wateja
Sawa hakuna tatizo, karibu goba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutumia kabla ya hiyo one day. Endelea kutafuta wateja
Wakurugenzi walipa kodi kanda maalum ya vilevi njoni maramoja kwa kikao cha dharura
Nina wazo ambalo linahitaji michango na hatimaye ridhaa yenu katika ujumla wetu
Kaliba yetu hii ina uwanja mpana sana wenye kila aina ya vituko... Mnaonanaje kila siku moja tukawa na mada moja na kila mtu akichangia kwa uzoefu wake...
Mada za kuanzia
. kuchomekewa bili
. kuondoka na mhudumu[emoji85][emoji85][emoji85]
. kuibiwa gesti kwa sababu ya ulevi
. kunywa flat beer nk nk
Nasubiria baraka zenyu
Nakala kwa katibu
wanywaji wangetutengenezea app ukiingia tu inakuonyesha bar zilizokua karibu
Umenikumbusha kuna jamaa hivi sasa Marehemu yeye anachagua nyimbo ambazo zitawakera watu muda huo na mara nyingi anachagua taarab
Umenikumbusha kuna jamaa hivi sasa Marehemu yeye anachagua nyimbo ambazo zitawakera watu muda huo na mara nyingi anachagua taarab
Hahaha, umechungulia fursaNimewasiliana na supplier wangu nipeni details za final destination nianze kusambaza bei 50tho. Mali adimu kupatikana. Watangazie na wengine
Tatizo wametubana muda wa kunywa pombeWadau hii inatuhusu hii ,mwenyekiti hoja binafsi hii View attachment 878695
Mtoa wazo ID yake inaonesha ni programmer sasa cjui hajaiona hii km ni fursa? au kalewa ?hhahaha alafu unajua ni bonge la idea! mfano uende shy... unaletewa bar za kutosha...lol!mambo ya codes hayo
Nawe mnywaji? Karibu chamanihahahahah aisee pombe bwana
Nawe mnywaji? Karibu chamani
Sasa huko ni balaa mkuu👆👆👆wanywaji wangetutengenezea app ukiingia tu inakuonyesha bar zilizokua karibu
mi ntampasia hubby kabobea!Mtoa wazo ID yake inaonesha ni programmer sasa cjui hajaiona hii km ni fursa? au kalewa ?
. Ya kwanza tutakua wengi sana.Wakurugenzi walipa kodi kanda maalum ya vilevi njoni maramoja kwa kikao cha dharura
Nina wazo ambalo linahitaji michango na hatimaye ridhaa yenu katika ujumla wetu
Kaliba yetu hii ina uwanja mpana sana wenye kila aina ya vituko... Mnaonanaje kila siku moja tukawa na mada moja na kila mtu akichangia kwa uzoefu wake...
Mada za kuanzia
. kuchomekewa bili
. kuondoka na mhudumu[emoji85][emoji85][emoji85]
. kuibiwa gesti kwa sababu ya ulevi
. kunywa flat beer nk nk
Nasubiria baraka zenyu
Nakala kwa katibu
. Ya kwanza tutakua wengi sana.
Leo nilitoroka kwa mume nikalutana na balaa.
Vzr sanami ntampasia hubby kabobea!
Hii inatokana na baadhi yetu kuwa wakepa kodi.Wadau hii inatuhusu hii ,mwenyekiti hoja binafsi hii View attachment 878695
Ooooh mwanachama mtegevu ,unategea toka WC mpk Leo duhtena mzuri sana..ila mm nakunywa kwa msimu...hapa toka world cup...kiu sio cha nchi hii
TunategeaHii inatokana na baadhi yetu kuwa wakepa kodi.
Hatuungi mkono kampuni pendwa.
Ooooh mwanachama mtegevu ,unategea toka WC mpk Leo duh