Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hahaha umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja yy alikua anajaza juke box lile elf 3 ,nyimbo moja tu ,Tamaa mbaya ya 20 percent basi, kisha anaagiza bia anakaa pembeni kunywa, mnatasikiliza hy nyimbo mpk mchoke
Hahaha hii jamaa mmoja alikuwa anaweka ile ya ngwasuma samaki anavipande vingaapiii...viitatuuu...ile nyimbo niliijua bila shuruti!
 
Back
Top Bottom