Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hii kitu huwa inawapa nyege "Ke" sana, sasa sijui wewe utakufanya nini [emoji851]
aiseehh..... So tunafanyaje...
Hii no harari koz unawwza kuta mkeo analiwa kizembe kabisa
 
Dah! Jamaa alikuwa anatupia coin mule...sasa ukienda kuchagua wimbo hadi uje kupigwa ushakuwa wa juzi tayari...hasa kwa sie tunaokunywa vya kulaza juu ya meza.
Chagua wimbo sasa. ... Urushiwee.....

Nakurushia instantly..
 
Chagua wimbo sasa. ... Urushiwee.....

Nakurushia instantly..
Kwa mood ya saiv kibao cha hot chocolate you sexy thing, au Calvin Harris so close to you itakuwa Poa sana.
 
Mshanajr umeshamaliza dozi yako ya UTI...!??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

au ilikuwa fix.
Hapana kiongozi bado haka kamoja tu ka usiku huu[emoji24][emoji24][emoji24]halafu kesho hureee[emoji322][emoji322][emoji322][emoji39][emoji39][emoji39]
IMG_20180926_222029_5.jpg
 
Mkuu Mshana jr. Nawakilisha Nyanda za juu kusini. Nipo hapa Pson Car Wash. Nachangia Kodi kupitia
Balimi Extra Lager baridiii.
 
Mlipa kodi sugu kupitia sekta yetu ya unywaji na ulevi,mida hii nachanhia pato la taifa hapa club sunset jet lumo.
 
Umesomeka ndugu mwenyekiti,hata peponi naamini tutakuwa pamoja walevi na wanywaji wote, huko nako natumai utatuongoza maana tutakuchagua wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji115]parapanda italiiaaa.. . parapandaa ×4
Na walipa kodi wote wataenda mbinguni
 
Back
Top Bottom