Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #3,121
Wakurugenzi walipa kodi kanda maalum ya vilevi njoni maramoja kwa kikao cha dharura
Nina wazo ambalo linahitaji michango na hatimaye ridhaa yenu katika ujumla wetu
Kaliba yetu hii ina uwanja mpana sana wenye kila aina ya vituko... Mnaonanaje kila siku moja tukawa na mada moja na kila mtu akichangia kwa uzoefu wake...
Mada za kuanzia
. kuchomekewa bili
. kuondoka na mhudumu[emoji85][emoji85][emoji85]
. kuibiwa gesti kwa sababu ya ulevi
. kunywa flat beer nk nk
Nasubiria baraka zenyu
Nakala kwa katibu
Nina wazo ambalo linahitaji michango na hatimaye ridhaa yenu katika ujumla wetu
Kaliba yetu hii ina uwanja mpana sana wenye kila aina ya vituko... Mnaonanaje kila siku moja tukawa na mada moja na kila mtu akichangia kwa uzoefu wake...
Mada za kuanzia
. kuchomekewa bili
. kuondoka na mhudumu[emoji85][emoji85][emoji85]
. kuibiwa gesti kwa sababu ya ulevi
. kunywa flat beer nk nk
Nasubiria baraka zenyu
Nakala kwa katibu