Dah! Jamaa alikuwa anatupia coin mule...sasa ukienda kuchagua wimbo hadi uje kupigwa ushakuwa wa juzi tayari...hasa kwa sie tunaokunywa vya kulaza juu ya meza.hhhahaha nimeicheza hatar enzi tupo chuo...
aiseehh..... So tunafanyaje...Hii kitu huwa inawapa nyege "Ke" sana, sasa sijui wewe utakufanya nini [emoji851]
Chagua wimbo sasa. ... Urushiwee.....Dah! Jamaa alikuwa anatupia coin mule...sasa ukienda kuchagua wimbo hadi uje kupigwa ushakuwa wa juzi tayari...hasa kwa sie tunaokunywa vya kulaza juu ya meza.
Kwa mood ya saiv kibao cha hot chocolate you sexy thing, au Calvin Harris so close to you itakuwa Poa sana.Chagua wimbo sasa. ... Urushiwee.....
Nakurushia instantly..
Kwa mood ya saiv kibao cha hot chocolate you sexy thing, au Calvin Harris so close to you itakuwa Poa sana.
Dah...barikiwa Sana...hapa ukiwa geji unaruka tuu....sipendagi nyimbo za kucheza kwa format Kama kwaito.[emoji2]
Mwenyekita atakua yupo likizo.
Kujiendekeza tuuDah ila pombe mwanaharamu sana yaani ukishapiga bila mwanamke siku haiishi vizuriπ‘ππ
Ushauri umepokelewa hata Jukwaa la Dini sipo....Majukwaa yanayohitaji Approval kwa Mods huwa sihangaiki nayo.Nakushauri usiende
Umesomeka ndugu mwenyekiti,hata peponi naamini tutakuwa pamoja walevi na wanywaji wote, huko nako natumai utatuongoza maana tutakuchagua wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Safi sana ila next time toa location mapema mdau
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji115]parapanda italiiaaa.. . parapandaa Γ4Umesomeka ndugu mwenyekiti,hata peponi naamini tutakuwa pamoja walevi na wanywaji wote, huko nako natumai utatuongoza maana tutakuchagua wewe[emoji23][emoji23][emoji23]