MnywajiMdau?
Tunaamka sasa ... Mapema kabisa.03:55
hahahahaah aiseeDah! Jamaa alikuwa anatupia coin mule...sasa ukienda kuchagua wimbo hadi uje kupigwa ushakuwa wa juzi tayari...hasa kwa sie tunaokunywa vya kulaza juu ya meza.
Duh vurugu ya jana leo hatari yaani sijui nlingia vipi ndani [emoji23] [emoji23][emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3][emoji115]
Jamaa hapa aliletewa bill ikawa utata[emoji848][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3][emoji115]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume acha umbeyaa loooh .fyuuu
Asee pole sana,binafsi sijawahi kupatwa na mikasa hiiWanajumuiya pendwa ya kanda maalum ya walipa kodi leo tunaaza rasmi utaratibu wa KISA CHA SIKU.. Leo ni siku ya visa vya kuwekewa madawa kwenye pombe... Kama unacho karibu
Changu hiki hapa
MK GRAND MWAKA 2004
Ikiwa ni bar ya viwango vyake kipindi hicho nilikuwa mteja mzuri pale mimi na jamaa yangu
Ilikuwa kila tukitoka kazini lazima tupite pale tule munde na mbuzi choma... Mimi nikiwa mpenzi wa konyagi na jamaa safari
Mazoea ya kwenda pale yakatukutanisha na binti mmoja mhudumu ambaye akawa kama vile ni mhudumu wetu maalum tukienda pale... Hakuna siku ambayo thatukwenda pale asinywe asile au asiondoke na keep chenchi. Mpaka ikawa tukifika pale wenzake wanamwambia wateja wako wamekuja
Siku moja kufika pale jamaa yangu akapata dharura ya msiba.. Hivyo akanywa bia moja na kuondoka.. Mimi nilikuwa nimeagiza kisichana na crest water
Baada ya jamaa kuondoka yule binti akaniambia leo anataka kunipa zawadi, hatukuwahi kumtongoza hivyo nikajua pengine zawadi yenyewe ni tundi.. Nikamsiliza akasema anataka kuninunulia pombe kwakuwa kila siku tunamnunulia yeye tu
Nikakataa ila akasisitiza, akasema hanunui bali jana yake alinunuliwa konyagi na mteja ikamshinda kunywa hivyo akaniwekea anipe zawadi.. Nikakubali akaniletea kasichana kalikokwisha funguliwa... Nikamalizia kangu nianze kake
Nikamimina kale kake na soda iliyokuwa Imebaki... Funda moja tu nikaanza kuhisi kulewa... Cha anabu ni kwamba siku ile baada tu ya kunihudumia hakutaka kukaa nami aliondoka
Kupiga jicho pembeni yangu nikaona kuna jamaa wane wananimonitor kiaina
Machale yakaniambia tayari nimeshapatwa... Hivyo nikapanga niondoke kwa style.,. Niende malimawatoni nikitoka huko nduki... Nikaenda chooni.. Vyoo vya MK viko kwa ndani kidogo,
Kuondoka tu jamaa mmoja kati ya wale wane akanifuata... Tuliingia chooni pamoja lakini nikamuona kabisa jamaa anafosi mkojo
Sasa unajua alama mojawapo ya kulewa ni ukikojoa lazima ushike ukuta kutafuta balance.. Nikajikuta nafanya hivyo
Yule jamaa alipoona namwangalia kiaina alitoa mkojo kidogo na kuondoka.. Nilijiapiza kuw siwezi hata siku moja kulewa kwa kibapa kidogo na nusu glass (normal rate ilikuwa kuanzia vitatu)
Nikatoka kwa shida chooni, ufunguo wa gari mkononi... Gari nilikuwa napaki mkao wa kutoka... Nilifungua mlango kwa remote nikaingai ndani nikawasha na kuondoka
Nikifika nyumbani kwa shida saana. Macho yalikuwa mazito mno, bahati nzuri nilikuwa naishi nyuma tu ya mwananyamala hospital... Nilifika home salama nikafunguliwa geti na kuingiza gari..,.
Nilistuka saa sita usiku koo likiwa limekauka sana halafu kichwa kizito huku kikiuma...
Kesho yake sikuweza kwenda kazini... Jamaa yangu nilimpa taarifa na alipotoka kazini jioni alinipitia tukaenda pale Bar... Cha ajabu yule binti hatukumkuta na hakuna aliyekuwa na taarifa zake... Tukienda siku tatu mfululizo hatukumpata...
Hii ikawa ndio mwisho wangu kukaa MK GRAND
Duh....principle yangu yangu kuu 1 nikienda chooni lazima bia iwe imeishaWanajumuiya pendwa ya kanda maalum ya walipa kodi leo tunaaza rasmi utaratibu wa KISA CHA SIKU.. Leo ni siku ya visa vya kuwekewa madawa kwenye pombe... Kama unacho karibu
Changu hiki hapa
MK GRAND MWAKA 2004
Ikiwa ni bar ya viwango vyake kipindi hicho nilikuwa mteja mzuri pale mimi na jamaa yangu
Ilikuwa kila tukitoka kazini lazima tupite pale tule munde na mbuzi choma... Mimi nikiwa mpenzi wa konyagi na jamaa safari
Mazoea ya kwenda pale yakatukutanisha na binti mmoja mhudumu ambaye akawa kama vile ni mhudumu wetu maalum tukienda pale... Hakuna siku ambayo thatukwenda pale asinywe asile au asiondoke na keep chenchi. Mpaka ikawa tukifika pale wenzake wanamwambia wateja wako wamekuja
Siku moja kufika pale jamaa yangu akapata dharura ya msiba.. Hivyo akanywa bia moja na kuondoka.. Mimi nilikuwa nimeagiza kisichana na crest water
Baada ya jamaa kuondoka yule binti akaniambia leo anataka kunipa zawadi, hatukuwahi kumtongoza hivyo nikajua pengine zawadi yenyewe ni tundi.. Nikamsiliza akasema anataka kuninunulia pombe kwakuwa kila siku tunamnunulia yeye tu
Nikakataa ila akasisitiza, akasema hanunui bali jana yake alinunuliwa konyagi na mteja ikamshinda kunywa hivyo akaniwekea anipe zawadi.. Nikakubali akaniletea kasichana kalikokwisha funguliwa... Nikamalizia kangu nianze kake
Nikamimina kale kake na soda iliyokuwa Imebaki... Funda moja tu nikaanza kuhisi kulewa... Cha anabu ni kwamba siku ile baada tu ya kunihudumia hakutaka kukaa nami aliondoka
Kupiga jicho pembeni yangu nikaona kuna jamaa wane wananimonitor kiaina
Machale yakaniambia tayari nimeshapatwa... Hivyo nikapanga niondoke kwa style.,. Niende malimawatoni nikitoka huko nduki... Nikaenda chooni.. Vyoo vya MK viko kwa ndani kidogo,
Kuondoka tu jamaa mmoja kati ya wale wane akanifuata... Tuliingia chooni pamoja lakini nikamuona kabisa jamaa anafosi mkojo
Sasa unajua alama mojawapo ya kulewa ni ukikojoa lazima ushike ukuta kutafuta balance.. Nikajikuta nafanya hivyo
Yule jamaa alipoona namwangalia kiaina alitoa mkojo kidogo na kuondoka.. Nilijiapiza kuw siwezi hata siku moja kulewa kwa kibapa kidogo na nusu glass (normal rate ilikuwa kuanzia vitatu)
Nikatoka kwa shida chooni, ufunguo wa gari mkononi... Gari nilikuwa napaki mkao wa kutoka... Nilifungua mlango kwa remote nikaingai ndani nikawasha na kuondoka
Nikifika nyumbani kwa shida saana. Macho yalikuwa mazito mno, bahati nzuri nilikuwa naishi nyuma tu ya mwananyamala hospital... Nilifika home salama nikafunguliwa geti na kuingiza gari..,.
Nilistuka saa sita usiku koo likiwa limekauka sana halafu kichwa kizito huku kikiuma...
Kesho yake sikuweza kwenda kazini... Jamaa yangu nilimpa taarifa na alipotoka kazini jioni alinipitia tukaenda pale Bar... Cha ajabu yule binti hatukumkuta na hakuna aliyekuwa na taarifa zake... Tukienda siku tatu mfululizo hatukumpata...
Hii ikawa ndio mwisho wangu kukaa MK GRAND
Duh pole mi nyagi nakandamiza sana lkn nashangaaa haijawahi nibabua mdomoJAMANI hii kitu imeniunguza lips zimekuwa nyekunduu make napiga vitano kila siku tena kavu
Nilienda likizo kijiji kwa mama juzi,mama ni mlokole kwa ila zamani alikuwa mpiga maji
alivoona midomo myekundu alisikitika sana na kusema..."mwanangu km umeshindwa kuacha pombe basi angalau kunywa bia tu acha konyagi....na umeshindwa kuacha konyagi basi jitahidi angalau kuwa unainywea kwenye glass sio kwa mdomo wa chupa ona midomo sasa inafanana mkundu wa nyani".......na maneno mengi.
Kweli nilijisikia aibu na sijui nitafanyaje make pombe kunywa mchana haramu glass wapi na wapi,,,,,
But nampenda mama angu make angekuwa mlokole mwingine si kukemewa huko ---pepo tokaaaaaaa
Aisee kaka sipati stimu kabisa nikichanganya na kitu chochote pia radha hunipotea kabisa na kuhisi sinywi konyagiDuh pole mi nyagi nakandamiza sana lkn nashangaaa haijawahi nibabua mdomo
Sema nyagi Usinywe dry mkuu mix na maji au bitter lemon kdg
Ova
Kuna kitu inaitwa Captain Morgan flavored aisee ni nomaaamimi nikiwa na pochi nene naanzaga na JD,pochi likianza kusinyaa nashuka kwa yohana mtembezi(lebo nyekundu,nyeusi nitaiwezea wapi),mambo yanapoendelea kukaza nashuka kwa vladimir vodka...hali ikiwa tata katika levo ya mwisho nadondoka na ngumu kumesa(bapa)
sinywagi bia,..you know why?naweza kunywa hata 20.,sababu nyingine bia inajaza mipovu tumboni
shout it out to whoever muasisi wa utengenezaji pombe(iwe ya kienyeji au ya kigeni)
cheers
I mean hata nikinywa bia 20 Ni lazima mwisho nita-endup na ze kituzAisee kaka sipati stimu kabisa nikichanganya na kitu chochote pia radha hunipotea kabisa na kuhisi sinywi konyagi
Yaani ninywe 20 Ni lazima mwisho nisakafie konyagi mdogo
Nadhani kunywea kwenye chupa ni tatizo ndo nalifanyia kazi