Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ila ndugu katibu kwani kuna maandalizi ya mapinduzi? Uchaguzi mara hii wakati hata hatujatulia kwenye viti? [emoji23][emoji23][emoji23]
Bwanaa ehh wanachana wamechachama Ila watupe muda kdg kwanza [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Ipo bado kaunta mwanaidi alafu nnya limezidi kukuaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Dah si ndio ilikuwa wami bar zamani? Hapo komakoma kwa ndani hivi kuna gesti iko ghorofani?
Anya kama hujui matumizi yake..... 🤔[emoji12][emoji40]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…