Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mie tayari huku mdg mdg ,lunch time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah nimeingia ndani hapa wanauza bia 24/7Poa poa mwenyekiti, pamoja tuijenge nchi.
Kimachosikitisha ni matumizi ya juhudi zetu za ulipaji kwa waliopoka mamlaka.
Umesahau mafegi mezan mkuu na kiberti ya gesiWakuu nimekwepa kodi.kisa majukumu. Nimetoroka kidoga kulipa kwa kujiiba munisameheView attachment 878490
Nashukuru. Ndo naamka saa hizi Ila sikumbuki kama nilienda mbinguni😂😂😂😂😂Karibuni jukwaani utafika mbinguni
Bla kusahau kuyumba na mipepesuko kama mtu mwenye kifafa aisee pombe raha sana watu hawaelewi namna tunavopepesuka ile ndo raha ya mlevi anaona ndo mahali yake[emoji482]Asante na kurudisha chenchi pia
Mi ndio nimeachiwe nimefika najishauri nianzejeDah nimeingia ndani hapa wanauza bia 24/7
Jamaa ana kibali nmepiga safari 2 faster
Ova
View attachment 879419View attachment 879420
Panafaa hapoDah nimeingia ndani hapa wanauza bia 24/7
Jamaa ana kibali nmepiga safari 2 faster
Ova
View attachment 879419View attachment 879420
Unaenda ofisin mate yanadondoka dondoka mdomo unapishana wa juu na wa chin jicho kama limepigwa bisi bisi alafu unahema kama mtu anaeruka kamba...vichwa panzi wanachekeshaga alafu ndo wanajfanyaga wababeMuda wa kazi lazima ujiibe fasta, balaa kama una kichwa panzi.
Ww sasa unataka watu wakimaliza kupiga konyagi wanaenda kuarisha home reds+konyagi=diarhoeaNimehangaika muda mrefu sana kutafuta kitu tofauti cha kuchanganyia konyagi...nimejikuta hii inakua poa kweli...View attachment 878765
Siku zote muoga ndio utamsikia akisema nitakupiga mpaka wakusahau, mfuate sasa uone.Unaenda ofisin mate yanadondoka dondoka mdomo unapishana wa juu na wa chin jicho kama limepigwa bisi bisi alafu unahema kama mtu anaeruka kamba...vichwa panzi wanachekeshaga alafu ndo wanajfanyaga wababe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wangwana mpo?? Hivi vyeo vya mwenyekiti na katibu mbona hatukufanya mkutano rasmi au mimi sikushirikishwa? Sawa bwana ila nimenyongonyea nilitamani niwe mweka hazina kwa kutumia Airtel money. Huku mwendo wa Bear Foot basi mtajiju.
Yeah let the nature decides... Utanipangiaje matumizi na pesa yangu mwenyewe? [emoji35][emoji35][emoji35]HahahahahahA,ikishindikana la kuandama kwa ajili ya bei watuache tuchome pesa zetu ila wasitupangie muda jamani,waache asili ijibadilishe yenyewe
Mf:mtu akiona pesa yake inaishia huko na maendeleo yanagoma kwa ajili ya pombe hutaacha mwenyewe tu
- ukiona afya inagoma kwa ajili ya pombe hutaacha mwenyewe
-ukiona ukinywa vurugu ni wewe na sero ni kwako plus virungu kila siku automatically utaacha au utapunguza.
Let the nature takes it's place
WATUACHE,Wacheze na waajiriwa wao tu
angalau sisi sector binafsi watuache tule walwa,
Sanduku la kura kwanza. Mimi nagombea mweka hazina ila mpaka kwenye simu yangu tuuu. Sina sim card nyingine ni airtelmoney.Mimi napenda kutoa mapendekezo yangu ya kuwania u-katibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wangwana mpo?? Hivi vyeo vya mwenyekiti na katibu mbona hatukufanya mkutano rasmi au mimi sikushirikishwa? Sawa bwana ila nimenyongonyea nilitamani niwe mweka hazina kwa kutumia Airtel money. Huku mwendo wa Bear Foot basi mtajiju.