Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mie tayari huku mdg mdg ,lunch time
IMG_20180927_125242.jpg
 
Unaenda ofisin mate yanadondoka dondoka mdomo unapishana wa juu na wa chin jicho kama limepigwa bisi bisi alafu unahema kama mtu anaeruka kamba...vichwa panzi wanachekeshaga alafu ndo wanajfanyaga wababe
Siku zote muoga ndio utamsikia akisema nitakupiga mpaka wakusahau, mfuate sasa uone.
 
Wangwana mpo?? Hivi vyeo vya mwenyekiti na katibu mbona hatukufanya mkutano rasmi au mimi sikushirikishwa? Sawa bwana ila nimenyongonyea nilitamani niwe mweka hazina kwa kutumia Airtel money. Huku mwendo wa Bear Foot basi mtajiju.
 

Attachments

  • WIN_20180927_18_03_09_Pro.jpg
    WIN_20180927_18_03_09_Pro.jpg
    13.1 KB · Views: 20
Wangwana mpo?? Hivi vyeo vya mwenyekiti na katibu mbona hatukufanya mkutano rasmi au mimi sikushirikishwa? Sawa bwana ila nimenyongonyea nilitamani niwe mweka hazina kwa kutumia Airtel money. Huku mwendo wa Bear Foot basi mtajiju.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngj tutalifanyia kazi

Ova
 
HahahahahahA,ikishindikana la kuandama kwa ajili ya bei watuache tuchome pesa zetu ila wasitupangie muda jamani,waache asili ijibadilishe yenyewe
Mf:mtu akiona pesa yake inaishia huko na maendeleo yanagoma kwa ajili ya pombe hutaacha mwenyewe tu
- ukiona afya inagoma kwa ajili ya pombe hutaacha mwenyewe
-ukiona ukinywa vurugu ni wewe na sero ni kwako plus virungu kila siku automatically utaacha au utapunguza.
Let the nature takes it's place
WATUACHE,Wacheze na waajiriwa wao tu
angalau sisi sector binafsi watuache tule walwa,
Yeah let the nature decides... Utanipangiaje matumizi na pesa yangu mwenyewe? [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Wangwana mpo?? Hivi vyeo vya mwenyekiti na katibu mbona hatukufanya mkutano rasmi au mimi sikushirikishwa? Sawa bwana ila nimenyongonyea nilitamani niwe mweka hazina kwa kutumia Airtel money. Huku mwendo wa Bear Foot basi mtajiju.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom