Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ni shigidiii aseeLeo ni leo View attachment 879666
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni shigidiii aseeLeo ni leo View attachment 879666
We nitakutafuta tukae km kamati
Mazoezi [emoji23] [emoji23] [emoji23] sanaaaWakubwa mkumbuke na kula sio mnakunywa tu.
Mwanakamati muoga wa pombe nawasalimia.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Swali zuri sanaHivi kuanzia mwenyekiti aanzishe huu Uzi hadi muda huu na kula vyombo tumelipa kodi sh ngap?
Hahaha, haina tatizoHahahahahah uje na mchango wa kamata usisahau mweka hazina mie
Balaa maisha ndio hayaNi shigidiii asee
Anza kutuma kwa mpesa hoooooHahaha, haina tatizo
Walevi bhana..Ulitumia akili sana
Hahahahah utafikiri leo ijumaa walahiMuongo mkubwa huyo hayo matobo tungekuwa tunayaonaje?
Nimeanza hiviView attachment 879679
Acha uonevuAnaeleweshwa na hii kitu anipe ujuzi, nimekunywa 17 naona bado niko sawaView attachment 879649
Mmmh mweka hazina una haraka hiviAnza kutuma kwa mpesa hooooo
Hahahahaaaa.......[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ili kupata taste tofauti siku moja nikajichanganya Tandika ndanindani kula monde. Zile sura nilizoziona pub bia ilikuwa haishuki vizuri hahaaa.
Nikalipa bill kisiri halafu nikazuga naenda toilet huyoooo nikatokomea
Loading........Weekend loading....!!!!
Weekend loading....!!!!
Mie tayariLoading........