Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Ili kupata taste tofauti siku moja nikajichanganya Tandika ndanindani kula monde. Zile sura nilizoziona pub bia ilikuwa haishuki vizuri hahaaa.

Nikalipa bill kisiri halafu nikazuga naenda toilet huyoooo nikatokomea
Hahahahaaaa.......[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tembea na spray mate huto vamiwa. Karibu mataiko* BAR Kona za temeke hospital hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…