Mrangi unaujua mji balaa.Mudy punky si amemuoa mtoto wa mzee majungu Naskia nyumba wame uza au imechukuliwa na bank
Namjua mudy punky kitambo mke wake alimpangishaga jamaa yangu mmja pale wakala kodi ya mwaka jamaa yangu Haku ingia tuliwaletea mtiti sana pale
Ova
Huyu jamaa nimemkubaliTBL inatakiwa wakupe Golden award Katibu wetu
Jamaa yuko vzr sana ,ndio faida ya unywaji unajichanganya sana na RaiaMrangi unaujua mji balaa.
Halafu mkikaa sehemu mnapiga mambo na waliokwisha fanya vurugu mji huu huboreki, unaweza stuka umemaliza kreti, stori juu ya stori
Ukijuana na raia na dili nyingi unazipata maeneo hayo hayoJamaa yuko vzr sana ,ndio faida ya unywaji unajichanganya sana na Raia
Kabisa MkuuUkijuana na raia na dili nyingi unazipata maeneo hayo hayo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mrangi unaujua mji balaa.
Halafu mkikaa sehemu mnapiga mambo na waliokwisha fanya vurugu mji huu huboreki, unaweza stuka umemaliza kreti, stori juu ya stori
Vitu ambavyo vimenikutanisha na watu wengi ni kunywa ugimbi na kucheza mpiraUkijuana na raia na dili nyingi unazipata maeneo hayo hayo
Mimi ugimbi , mpaka marafiki wa Mzee wangu wamekuwa washkaji kabisaVitu ambavyo vimenikutanisha na watu wengi ni kunywa ugimbi na kucheza mpira
Hahaha, ndio inavyokuaMimi ugimbi , mpaka marafiki wa Mzee wangu wamekuwa washkaji kabisa
Sasa utacheka wakikupa stori zao na vibweka vyao vya zamani , utafurahi balaa hapo ni full kukoswa koswa kufumaniwaHahaha, ndio inavyokua
Halafu unapata madini na dili za maana ,mm huwa nakaaga na wazee madon haswa ,na nilivyo kiburi hata km Nina laki nazungusha round wote ,huwa wana cheka sanaMimi ugimbi , mpaka marafiki wa Mzee wangu wamekuwa washkaji kabisa
Wanacheka ila wanajua da huyu dogo ana guts japo kipato chake cha kawaida.Halafu unapata madini na dili za maana ,mm huwa nakaaga na wazee madon haswa ,na nilivyo kiburi hata km Nina laki nazungusha round wote ,huwa wana cheka sana
HahahaSasa utacheka wakikupa stori zao na vibweka vyao vya zamani , utafurahi balaa hapo ni full kukoswa koswa kufumaniwa
Bana wee ,wenyewe wanakomaga ,nawatia ofa halafu nasikiliza story zao ,Mkuu nikikuambia wazee ninaokaaga nao utashangaa ni vigogo haswa ,lkn kwa ubishi nawazungushia ,uzuri wakiwa na dili wanakurushia ufidie fidie machunguWanacheka ila wanajua da huyu dogo ana guts japo kipato chake cha kawaida.
Karibu ktk haya maongezi MkuuTukaribishane jamani
Yana kinywaji?Karibu ktk haya maongezi Mkuu
HahahaYana kinywaji?
Ahhhh nmepita sehemu napiga bia lkn kwa shida ahhh mateso haya [emoji23]
Ova
View attachment 880250View attachment 880251