Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mudy punky si amemuoa mtoto wa mzee majungu Naskia nyumba wame uza au imechukuliwa na bank
Namjua mudy punky kitambo mke wake alimpangishaga jamaa yangu mmja pale wakala kodi ya mwaka jamaa yangu Haku ingia tuliwaletea mtiti sana pale

Ova
Mrangi unaujua mji balaa.
Halafu mkikaa sehemu mnapiga mambo na waliokwisha fanya vurugu mji huu huboreki, unaweza stuka umemaliza kreti, stori juu ya stori
 
Mrangi unaujua mji balaa.
Halafu mkikaa sehemu mnapiga mambo na waliokwisha fanya vurugu mji huu huboreki, unaweza stuka umemaliza kreti, stori juu ya stori
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
Wanacheka ila wanajua da huyu dogo ana guts japo kipato chake cha kawaida.
Bana wee ,wenyewe wanakomaga ,nawatia ofa halafu nasikiliza story zao ,Mkuu nikikuambia wazee ninaokaaga nao utashangaa ni vigogo haswa ,lkn kwa ubishi nawazungushia ,uzuri wakiwa na dili wanakurushia ufidie fidie machungu
 
Safari jamaniiii eeeeh....
 

Attachments

  • Screenshot_20180928-183807.jpg
    Screenshot_20180928-183807.jpg
    55.4 KB · Views: 19
Back
Top Bottom