machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Mi nimeagiza kirikuu cha safari nashangaa kina kizibo cha Kilimanjaro lager au nimelewa nini wakuu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaleta ladha ikiwashwa na kiberiti cha kusugua mkuuHeshima kwa joimt. Starter pack new camp bernard. Niko na urio, eddo nysgi nation. Na agentX
Upo kiwanja changu jombaaaChecked in Java lounge park at Ukonga BananaView attachment 880795
Upo kiwanja changu jombaaa
Mkuu hadi baunsa mnyamwezi ashushe mikono yote aweke mfukoni [emoji23][emoji23][emoji23]Java lounge, Ukonga banana View attachment 880797View attachment 880798
Kumshusha mnyamwezi ngumu sana, lazima kemia ihusikeMkuu hadi baunsa mnyamwezi ashushe mikono yote aweke mfukoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ndio yule mzee kiboko ya Majembe?Kule wamefariki wazee Wangu wawili na Dada Patricia ,wenyewe walikua wananiita Son,Mzee Mkony na Mzee Meda ( huyu tulishamjadili humu JF na Mshana Jr , wote ni members walikua wa Mkonyiz sasa Mebs
We utakua unamsema my Dad Mzee Meda ( km sijakosea)
[emoji23][emoji23][emoji23]Mudy punky si amemuoa mtoto wa mzee majungu Naskia nyumba wame uza au imechukuliwa na bank
Namjua mudy punky kitambo mke wake alimpangishaga jamaa yangu mmja pale wakala kodi ya mwaka jamaa yangu Haku ingia tuliwaletea mtiti sana pale
Ova
Tunawaombea kabla hamjafika kwanza mpate one for ze rodi afu yule ajalewa sana aendeshe, hakikisha unazo za akiba kwenye gariTunatoka na mb 30 XLR dereva urio kashalewa nyagi na serengeti zake tuombeeni. Tunaenda 40 40 tabata.
NB;
Sisi ni wakazi wa tabata