mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana unaweza changanya simu na chupa tupuSafi....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kikubwa sim iko salama
Tunasubiria pic na Shang we
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Maana unaweza changanya simu na chupa tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewasahau kina mama na dada zetu, wadau muhimu pia kwenye kubalance genderWadau Song il gok Mshana Jr Nelson Mwombeki mrangi mavado Papupi chaliifrancisco wakuu hamjaamka na viporo mushtue? Nina ki valeur hapa geto. Kipya sijui nimekipataje......... ushawai kurudi na zaga na ukumbuki? . Ulipataje pataje
Hahaha mimi ndiyo naingia jobDuh[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mm nataka kutafuta usings ndy nmerudi
Muda si mrefu hpa ni off off tu
Ova
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Safari yenye lager zake ft. Shada yenye stimu zake. Tunaenda site soon.lazma muhindi atoe hela leo tulewe. Iyo inaitwa morning starter pack.
Kaunta mapema nimemwambia dada asipige usafi atupe dozi tutoe lock [emoji23] [emoji23]Hahaha mimi ndiyo naingia job
Wanywaji huwa tunarudigi kwa hisia [emoji23] [emoji23] [emoji23] utakuta mtu anarudi home anaendesha Gari mpaka analipaki ana lala hamjuiAisee nimerudi mida ya wanga nina chupa nusu ya pombe sijui niliibebaje hadi ikafika. Hapa naishtua kisha naenda kupata ya kuzimua zaidi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mida ya wangaaaa HahahaAisee nimerudi mida ya wanga nina chupa nusu ya pombe sijui niliibebaje hadi ikafika. Hapa naishtua kisha naenda kupata ya kuzimua zaidi.
Naam huyo huyoKumbe ndio yule mzee kiboko ya Majembe?
[emoji23][emoji23][emoji23]🤓🤓[emoji23]Walipa kodi mpo imara?
Mi ndio nawasha efd muda huu.View attachment 881096
Mwenyekiti mzima?. Vipi katibu na wadau wote wapo imara?.[emoji23][emoji23][emoji23]🤓🤓[emoji23]
Mungu ni mwema kabisa... Aisee nakuona hapoMwenyekiti mzima?. Vipi katitu na wadau wote wapo imara?.
Machine imeshawaka sasa nikutoa tu risiti.View attachment 881114
Hapo Safi sanaMwenyekiti mzima?. Vipi katibu na wadau wote wapo imara?.
Machine imeshawaka sasa nikutoa tu risiti.View attachment 881114