Hizo sukari zimechafua meza[emoji23][emoji23][emoji23]Kazi Nazi!View attachment 880714
Duh ndy na ingia home sahv mwenyekiti [emoji23] [emoji23] [emoji23]Raha za dunia.. Pepo ni hapahapa
Duh[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoja Leo nianze mapema.@mrangi
Ngoja Leo nijaribu hiiView attachment 880921
Safi....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jana ya fourty fourty ni noma, simu yangu ilizima, picha anazo urio. Zitakuja
Stock muhimu. Tuna puli mbili umri wetu huu kweli bado tupange foleni kwa pusha? ......... mkuu uko wapiTunawaombea kabla hamjafika kwanza mpate one for ze rodi afu yule ajalewa sana aendeshe, hakikisha unazo za akiba kwenye gari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wadau Song il gok Mshana Jr Nelson Mwombeki mrangi mavado Papupi chaliifrancisco wakuu hamjaamka na viporo mushtue? Nina ki valeur hapa geto. Kipya sijui nimekipataje......... ushawai kurudi na zaga na ukumbuki? . Ulipataje pataje
Tairo yupi huyo mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kitanda sikijui maana nmekuwa kma popo
Nmerudi muda si mrefu alafu kuna swaiba wangu anaitwa tairo kja anataka nizimua tena[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova