Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mi sielewi sababu za Serengeti hapa au ni kwa ajili ya wanaojifunza tu???
Nimezipenda coz hazina hangover asbh ila kiukweli zile ni km juice kwa tuliozoea ngumu km hz
IMG_20180929_153407_7.jpg
 
Kuna bar nyengine zipo karibu na masjid na kanisa, sasa ukiweka glass mdomoni unaanza kusikia "kulewa haramu jamani kutakupelekeni motoni" dah kuna wengine wanapeleka hivyo hivyo du! wana moyo.
Na usafiri gani? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenikumbusha wiki iliyopita nikarudi geto na valeur na konyagi nusu zote, sasa sijui nilikua namix au vp sikumbuki kabisa ila nilikatia loki,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom