Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Brand ya wapi hiyo mkuu?Angalia usije ukanywa sumu....Mdg mdg N'TAY hewani, week end imeanzaView attachment 881351
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brand ya wapi hiyo mkuu?Angalia usije ukanywa sumu....Mdg mdg N'TAY hewani, week end imeanzaView attachment 881351
Ngoja niende kaunta za kijanja natupia sasa hivi. Ile kitu mpya imetulia sana, na rangi yake mpya ya strawberry. Acha kabisa, jana nilitupia mbili aloneK vant sasa hivi imekuja na muonekano mpya!!
Nimeshindwa kupandisha picha sasa sijui melewa!!?
Mwenye picha ya k vant mpya a.k.a muwa atupie chap
Ha ha ha poa mkuu leo unakunywa ngapiSitakiiii
Raha najipa mwenyewe jirani apambane na hali yake
Duh safi sana[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]View attachment 881338 mambo ndio yameanza
Kolwezi mojaBrand ya wapi hiyo mkuu?Angalia usije ukanywa sumu....
Kolwezi mojaBrand ya wapi hiyo mkuu?Angalia usije ukanywa sumu....
Ha ha ha poa mkuu leo unakunywa ngapi
Duh safi sana
Ova
Sawa mkuu,nasikia kuna baadhi ya vinywaji mtu akitumia alafu kwa bahati mbaya akanyeshewa na mvua;mtu huyo anaweza kulia kama ng'ombe...Kolwezi moja
Kolwezi mojaBrand ya wapi hiyo mkuu?Angalia usije ukanywa sumu....
DuhSawa mkuu,nasikia kuna baadhi ya vinywaji mtu akitumia alafu kwa bahati mbaya akanyeshewa na mvua;mtu huyo anaweza kulia kama ng'ombe...
Nakunywa 6 mkuu
Ha ha ha
Sawa mkuu,nasikia kuna baadhi ya vinywaji mtu akitumia alafu kwa bahati mbaya akanyeshewa na mvua;mtu huyo anaweza kulia kama ng'ombe...
Zinatosha nitakunywa sana kesho simba mnyama akishindaHazitoshi hizo mkuu,wkend utakuwa hujaitendea haki....
Nasikia baadhi ya pombe kali,hizi zinazotokana na mvuke...Vinywaji gani hivyo
PoaZinatosha nitakunywa sana kesho simba mnyama akishinda
Nasikia baadhi ya pombe kali,hizi zinazotokana na mvuke...