Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hizi hata upige 50 hamna kitu
Cha kufanya chukua sita na konyagi kubwa moja,hizo ndio unazifanya kichanganyio hakika hutoiona saa nne usiku[emoji23] [emoji23]
Zumuni la Serengeti ni lipi sasa hapa?
 
Kuna bar nyengine zipo karibu na masjid na kanisa, sasa ukiweka glass mdomoni unaanza kusikia "kulewa haramu jamani kutakupelekeni motoni" dah kuna wengine wanapeleka hivyo hivyo du! wana moyo.
Na usafiri gani? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenikumbusha wiki iliyopita nikarudi geto na valeur na konyagi nusu zote, sasa sijui nilikua namix au vp sikumbuki kabisa ila nilikatia loki,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…