Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nipo na wazee safari[emoji23][emoji23]wananiambia nakunywa juice[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna wasauzi nilikutana nao Arusha jamaa wana miili kama ya tembo wanakunywa beer kuanzia chupa 38 kwenda mbele ...nikawaambia Mimi uwezo wangu beer 7/8 wakaniambia hizo kule kwao wanakunywa wanafunzi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…