Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mambo yanashuka taratibu
IMG_20180930_173004.jpeg
 
Hahaaaaa mdo mdo tu utafka mi nko beginner inayokaribiana na level 2 ambayo ukiimaliza ndo unaenda level 3 za kina mrangi na mshana
Hao wamekubuhu..nilipoanzia mpaka hapa nilipo si haba, those days ilikua nikinywa viwili tuu network inakata. Mpaka kufikia December nami nitakua mjumbe wa kamati kuu [emoji28]
 
Mwenyekiti ndio nimefika hapa bar moja kama unaenda mlonganzila ila hakuna TV ila pazuri kama imperial ...ndio nimeagiza safari ndogo ....
 
Back
Top Bottom