Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hahaaaaa mdo mdo tu utafka mi nko beginner inayokaribiana na level 2 ambayo ukiimaliza ndo unaenda level 3 za kina mrangi na mshana
Hao wamekubuhu..nilipoanzia mpaka hapa nilipo si haba, those days ilikua nikinywa viwili tuu network inakata. Mpaka kufikia December nami nitakua mjumbe wa kamati kuu [emoji28]
 
Mwenyekiti ndio nimefika hapa bar moja kama unaenda mlonganzila ila hakuna TV ila pazuri kama imperial ...ndio nimeagiza safari ndogo ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…