Ilipitiwa na Tanrod japo sijafika kitambo ...swiming ipo BonagImperial nasikia Kuna swimming siku hizi
Karibuuu na uku mkuu ukishafika December[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hao wamekubuhu..nilipoanzia mpaka hapa nilipo si haba, those days ilikua nikinywa viwili tuu network inakata. Mpaka kufikia December nami nitakua mjumbe wa kamati kuu [emoji28]
Mkuu hii bear beer inapatikana wapi hapa dar
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwa speed niliyonayo kufika december nitakua nishafika mpaka kwa kina Vladimir Vodka...hapo kwa K Vant na Krest napita mwezi oktoba mwishoni mwishoniKaribuuu na uku mkuu ukishafika December[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 882510
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124][emoji124]hiyo ya kisambaa
Hii bar kama sio wewe nisingepajua hapa Njia ya Kendall lung an Zola pazuri sana mkuu. Jf ni kila kitu alafu kuna muhudumu ananihudumia ni nzuri sana sema nimekuja na familia hata kutania nashidwaImperial nasikia Kuna swimming siku hizi
Nimecheka sana una calculation za hatri kwamba oktoba mwishon[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwa speed niliyonayo kufika december nitakua nishafika mpaka kwa kina Vladimir Vodka...hapo kwa K Vant na Krest napita mwezi oktoba mwishoni mwishoni
Hyo yenye garden fulani na ina vibembea auMwenyekiti ndio nimefika hapa bar moja kama unaenda mlonganzila ila hakuna TV ila pazuri kama imperial ...ndio nimeagiza safari ndogo ....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii bar kama sio wewe nisingepajua hapa Njia ya Kendall lung an Zola pazuri sana mkuu. Jf ni kila kitu alafu kuna muhudumu ananihudumia ni nzuri sana sema nimekuja na familia hata kutania nashidwa
Ndio mkuu pametulia au sioHyo yenye garden fulani na ina vibembea au
Ova
Huku dar nyagi na hii joto hapana aiseeHpa ni nyagi sasa naona bia itanitia loss
Ova
Naskia ilikuwa ya mzungu mke wake mbongoNdio mkuu pametulia au sio
Nlianza na visafari naona silewiHuku dar nyagi na hii joto hapana aisee
Kawaida nimeagiza kiti moto rost kilo 12,000 ...nilipania kula mama leoNaskia ilikuwa ya mzungu mke wake mbongo
Mzungu alijichukua uhai wake
Sema shida hpo chakula ndy bei sana ahhhh
Ova
Kwanini mzungu alitwaa nielezee kidogoNaskia ilikuwa ya mzungu mke wake mbongo
Mzungu alijichukua uhai wake
Sema shida hpo chakula ndy bei sana ahhhh
Ova
Kiti moto chenyewe na mambo yetu hayaKawaida nimeagiza kiti moto rost kilo 12,000 ...nilipania kula mama leo
He! nawe kumbe humo jr.Na usafiri gani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Katibu shwariKiti moto chenyewe na mambo yetu haya
Vitu vinashuka tu!
Ova