ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
[emoji23] [emoji23] [emoji23] poleee mkuuHii bar kama sio wewe nisingepajua hapa Njia ya Kendall lung an Zola pazuri sana mkuu. Jf ni kila kitu alafu kuna muhudumu ananihudumia ni nzuri sana sema nimekuja na familia hata kutania nashidwa
Hahahhahah basi mkuu umetisha Sanaa..ila kvant sio ya kitoto kbsaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwa speed niliyonayo kufika december nitakua nishafika mpaka kwa kina Vladimir Vodka...hapo kwa K Vant na Krest napita mwezi oktoba mwishoni mwishoni
Chaliii noma kwa calculationNimecheka sana una calculation za hatri kwamba oktoba mwishon
Kapicha mkuuHpa ni nyagi sasa naona bia itanitia loss
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wote wanausarandia mzigo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hpa kaunta yuko dada mmoja ana chura hatari kaunta tumeninginia tumejaaazana
Tu hku na anayetaka kukaa chini kwny meza[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Pamoja katibuNko kaunta nlikuwa kopakabana one time
Ova
Hakika mkuu ngoja nikalale maana nawaona wote km Nancy SumariNAWAKUMBUSHA TUU ukishaanza kuona wahudumu wote wazuri nyanyuka uende nyumbani
Pamoja mkuu nimekuona
Nko na Robert Michael tunafanya vuruguImperial nasikia Kuna swimming siku hizi
Kumbe ni wengi huwa zinakataa ,me niforce natapikaNgja niangalie kama leo ntafka 20 naishiaga 10 znanikataa ila wanasema keep trying ntafika expert mode tu
Nipo na Katibu hapa
Wacha tulewe tu leooo