Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Hii bar kama sio wewe nisingepajua hapa Njia ya Kendall lung an Zola pazuri sana mkuu. Jf ni kila kitu alafu kuna muhudumu ananihudumia ni nzuri sana sema nimekuja na familia hata kutania nashidwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] poleee mkuu
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwa speed niliyonayo kufika december nitakua nishafika mpaka kwa kina Vladimir Vodka...hapo kwa K Vant na Krest napita mwezi oktoba mwishoni mwishoni
Hahahhahah basi mkuu umetisha Sanaa..ila kvant sio ya kitoto kbsaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hpa kaunta yuko dada mmoja ana chura hatari kaunta tumeninginia tumejaaazana
Tu hku na anayetaka kukaa chini kwny meza[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wote wanausarandia mzigo
 
Pamoja katibu
Uko wapi

Ova
20180930_195220.jpg
 
Too bad kiwango kinashuka niko ya 7 mambo yamegoma kabsa sema nshaelewa ata barcelona anafungwaga pia ngja nisubiri tu nipate mkataba mpya
 
Back
Top Bottom