Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Safi leo hadi kielewekeNiko chimbo Giza tu ,nimezungukwa na makazee /kreti
Safi lipa kodi
Kama kawa kama dawaSafi leo hadi kieleweke
Siku zote unakunywaga nnNmechelewa sana kujua kama Heineken ni tamu kiasi hiki
Nlikua natumia vitu vizito vizito kina k vant na wenzie, nikahamia kwenye zanzi mara viroba vikazuiliwa, nikanywa kanywa wine naona inanivuruga tu, nmehamia rasmi kwenye HeinekenSiku zote unakunywaga nn
Iyo Heineken nmeacha Siku nyingi sana, baada ya uchumi kuyumba! Lakini sasa hivi naenjoy vitu vikali! Kama konyagi!Nlikua natumia vitu
vizito vizito kina k vant na wenzie,
nikahamia kwenye zanzi mara viroba
vikazuiliwa, nikanywa kanywa wine naona inanivuruga tu, nmehamia rasmi kwenye Heineken
Si 2500 tu brother au unaenda kunywa kwenye zile bei za kitaliiIyo Heineken nmeacha Siku nyingi sana, baada ya uchumi kuyumba! Lakini sasa hivi naenjoy vitu vikali! Kama konyagi!
Kapicha pleaseNmechelewa sana kujua kama Heineken ni tamu kiasi hiki
Mwenyekiti Inabidi tuitishe mkutano[emoji848][emoji848][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji14]
Hamia safari bia ya wazalendoIyo Heineken nmeacha Siku nyingi sana, baada ya uchumi kuyumba! Lakini sasa hivi naenjoy vitu vikali! Kama konyagi!
Dah hpa leo lazima abebwe mtuSiku zote unakunywaga nn
Uko vzrNlikua natumia vitu vizito vizito kina k vant na wenzie, nikahamia kwenye zanzi mara viroba vikazuiliwa, nikanywa kanywa wine naona inanivuruga tu, nmehamia rasmi kwenye Heineken
Kaunta kwenyewe kwa sisi wazoefuIla Mrangi umenipa somo.
Habari ya kaunta, kaunta hakuna rongorongo
Sisi ndy tunamalizia maliziaIla Mrangi umenipa somo.
Habari ya kaunta, kaunta hakuna rongorongo