Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Nlikua natumia vitu
vizito vizito kina k vant na wenzie,


nikahamia kwenye zanzi mara viroba
vikazuiliwa, nikanywa kanywa wine naona inanivuruga tu, nmehamia rasmi kwenye Heineken
Iyo Heineken nmeacha Siku nyingi sana, baada ya uchumi kuyumba! Lakini sasa hivi naenjoy vitu vikali! Kama konyagi!
 
Iyo Heineken nmeacha Siku nyingi sana, baada ya uchumi kuyumba! Lakini sasa hivi naenjoy vitu vikali! Kama konyagi!
Si 2500 tu brother au unaenda kunywa kwenye zile bei za kitalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…