Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Panaonekana aisee kuna amsha amsha lkn si unajua sisi wanywaji tuna penda kufanyiwa zile vurugu na wahudumu[emoji23] [emoji23]

Ova
Papo poa, Dom ya Leo sio kama ile ya zamani. Kuna foleni siku hizi.
 
Ipo mkuu, wanadai ni ya Lowasa, hivi kuna ukweli katika hilo?
Duh long pembeni yake kulikuwa na gesti fulani sijui ipo!
Ktk harakati za maisha nlikuwa naenda kondoa nlipewa dili kufata ufuta
Tukapita barabara ya kwenda aneti ile
Tukavuka izava katikati kulikuwa na pori moja wanaita msitu mtungutu aka msitu mtukutu
Nlikuwa na kamtaji kwangu cha ngama
Kufika katikati ya pori basi likatekwa alaulaaa jamaa wakatusha abiria wote wakatuchukulia mapene yetu yote
Wengine walikula kibano
Nlirudi dom sina hata Mia ndy kuna jamaa namjuaa akanilipia pale pembeni na nam hotel

Ova
 
Siku hizi lile pori halisumbui, lami hadi Babati.
 
Madhara ya kutumia pombe ni makubwa kuliko inayoitwa faida.Wanywaji wengi wa pombe husahau kuhudumia familia zao,hujiingiza kwenye ufsika,wanakuwa na maendeleo duni,wanazeeka kabla ya wakati,wanapoteza heshima katika jamii,ni watumwa wa pombe wanawaza pombe usiku na mchana n.k.
 
Acha uwongo..by the way hujaombwa ushauri pita [emoji118]
 
Sio kweli hao ni wale kenge kwenye msafara wa mamba
 
Umeingia wrong site

Ova
 
Nenda kwenye uzi unaokuhusu, vichwa vigumu kuelewa .Kichwa cha uzi umekisoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…