Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Papo poa, Dom ya Leo sio kama ile ya zamani. Kuna foleni siku hizi.Panaonekana aisee kuna amsha amsha lkn si unajua sisi wanywaji tuna penda kufanyiwa zile vurugu na wahudumu[emoji23] [emoji23]
Ova
Nam hotel bado ipo area c mkuuPapo poa, Dom ya Leo sio kama ile ya zamani. Kuna foleni siku hizi.
Ipo mkuu, wanadai ni ya Lowasa, hivi kuna ukweli katika hilo?Nam hotel bado ipo area c mkuu
Ova
Duh long pembeni yake kulikuwa na gesti fulani sijui ipo!Ipo mkuu, wanadai ni ya Lowasa, hivi kuna ukweli katika hilo?
Siku hizi lile pori halisumbui, lami hadi Babati.Duh long pembeni yake kulikuwa na gesti fulani sijui ipo!
Ktk harakati za maisha nlikuwa naenda kondoa nlipewa dili kufata ufuta
Tukapita barabara ya kwenda aneti ile
Tukavuka izava katikati kulikuwa na pori moja wanaita msitu mtungutu aka msitu mtukutu
Nlikuwa na kamtaji kwangu cha ngama
Kufika katikati ya pori basi likatekwa alaulaaa jamaa wakatusha abiria wote wakatuchukulia mapene yetu yote
Wengine walikula kibano
Nlirudi dom sina hata Mia ndy kuna jamaa namjuaa akanilipia pale pembeni na nam hotel
Ova
Nilipita sana nkaonaga lamiSiku hizi lile pori halisumbui, lami hadi Babati.
Madhara ya kutumia pombe ni makubwa kuliko inayoitwa faida.Wanywaji wengi wa pombe husahau kuhudumia familia zao,hujiingiza kwenye ufsika,wanakuwa na maendeleo duni,wanazeeka kabla ya wakati,wanapoteza heshima katika jamii,ni watumwa wa pombe wanawaza pombe usiku na mchana n.k.Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Acha uwongo..by the way hujaombwa ushauri pita [emoji118]Madhara ya kutumia pombe ni makubwa kuliko inayoitwa faida.Wanywaji wengi wa pombe husahau kuhudumia familia zao,hujiingiza kwenye ufsika,wanakuwa na maendeleo duni,wanazeeka kabla ya wakati,wanapoteza heshima katika jamii,ni watumwa wa pombe wanawaza pombe usiku na mchana n.k.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jaribu pia Radha ya Muwa halisi......[emoji1] [emoji1] View attachment 888534
Sio kweli hao ni wale kenge kwenye msafara wa mambaMadhara ya kutumia pombe ni makubwa kuliko inayoitwa faida.Wanywaji wengi wa pombe husahau kuhudumia familia zao,hujiingiza kwenye ufsika,wanakuwa na maendeleo duni,wanazeeka kabla ya wakati,wanapoteza heshima katika jamii,ni watumwa wa pombe wanawaza pombe usiku na mchana n.k.
Umeingia wrong siteMadhara ya kutumia pombe ni makubwa kuliko inayoitwa faida.Wanywaji wengi wa pombe husahau kuhudumia familia zao,hujiingiza kwenye ufsika,wanakuwa na maendeleo duni,wanazeeka kabla ya wakati,wanapoteza heshima katika jamii,ni watumwa wa pombe wanawaza pombe usiku na mchana n.k.
Hah kaka mshana asante,Ndola hapa.Weka location
Zote zangu Dah leo rejeta inakasi ya ajabu sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio kweli hao ni wale kenge kwenye msafara wa mamba
Nenda kwenye uzi unaokuhusu, vichwa vigumu kuelewa .Kichwa cha uzi umekisoma?Madhara ya kutumia pombe ni makubwa kuliko inayoitwa faida.Wanywaji wengi wa pombe husahau kuhudumia familia zao,hujiingiza kwenye ufsika,wanakuwa na maendeleo duni,wanazeeka kabla ya wakati,wanapoteza heshima katika jamii,ni watumwa wa pombe wanawaza pombe usiku na mchana n.k.
Nasubiri Kama nitapata maana nishachoka Na Hawa wadadaila wapo..
Ballantines zimenitoa mate hapaKaribuni Dodoma Kibo barView attachment 888531