Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Sema bar za kujaza sana nilizikacha maana tushakswakoswa si unajua ile wanaingia mnambiwa laleni chini ahhhhh
Mm bar nshakutana na mikasa kibao kama kauandika kitabu ingekuwa burudan maana kuna majanga na vituko....
Wengine sisi ni watu wa mikasa,utani
Sometime watata.....nlikutana na robert Michael alinielwa Sana

Ova
Me nikiwa DSM napenda sana Calabash Mpakani, jumamosi huwa nakaa kaunta kuanzia SAA 4 asubuhi hadi band inafunga saa 6. Matukio sijawahi kutana nayo, ila ajali zitokanazo na tungi zaidi ya Mara 3. Nikija DSM ntakucheki mkuu. Nawe karibu makao makuu uje unywe dompo kwa 9 k
 
Hii mada tungepata uzoefu wa mlevi mzoefu ambaye kwa sasa ni mhe Mbunge wa Mara ya pili kwa vyama viwili ndani ya miaka mitano katika jimbo lile la uwanja wa Ndege mkubwa hapa nchini.
Yeye ana uzoefu wa kutopenda kusumbuka kwenda WC akishazibua kadhaa bali kushusha ndani kwa ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sema bar za kujaza sana nilizikacha maana tushakswakoswa si unajua ile wanaingia mnambiwa laleni chini ahhhhh
Mm bar nshakutana na mikasa kibao kama kauandika kitabu ingekuwa burudan maana kuna majanga na vituko....
Wengine sisi ni watu wa mikasa,utani
Sometime watata.....nlikutana na robert Michael alinielwa Sana

Ova
Katibu nakukubali sana
 
Mbona wote mnapita tu hakuna anayelike wala kucomment. wote wanafik kabisa. Nyinyi walevi siyo wanywaiji.

Ukinywa ukajielewa na kiasi chako na unatakiwa ufanye nini kesho hutaweza kusema enough unapokunywa
Shikamoo dada
 
Wali Nazi
IMG_20181006_204956_1.jpeg
 
Back
Top Bottom