Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

[emoji23][emoji23][emoji23]kama turbo charger
K asi ya ajabu bia nli zoku
20181006_184751.jpg
 
Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....

CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Hii mada tungepata uzoefu wa mlevi mzoefu ambaye kwa sasa ni mhe Mbunge wa Mara ya pili kwa vyama viwili ndani ya miaka mitano katika jimbo lile la uwanja wa Ndege mkubwa hapa nchini.
Yeye ana uzoefu wa kutopenda kusumbuka kwenda WC akishazibua kadhaa bali kushusha ndani kwa ndani.
 
Katibu wako ntakuibukia huko dom
Safi sana we unajua kukaa sehemu tulivu
Mm kuna wakati napenda jichanganya seems za vuguvugu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
Haha me mavurugu huwa siwezi kabisa. Napenda sana sehemu tulivu. Hapa Pestana now ndio panabang Dom. Sehemu nzuri sana.
 
Haha me mavurugu huwa siwezi kabisa. Napenda sana sehemu tulivu. Hapa Pestana now ndio panabang Dom. Sehemu nzuri sana.
Mm nakunyagwa sehemu yoyote naweza kunywa karembezi etc naweza kunywa kitaaa na masela kuamua tu mkuu
Kuna vibe wakati mwingine tunahitaji [emoji23] [emoji23]
Ona msabwanda humu

Ova
20181006_200054.jpg
 
Haha nimeona Mkuu. Me nikiwa DSM Mara moja moja huwa najichanganya. Vizuri pia.
Sema bar za kujaza sana nilizikacha maana tushakswakoswa si unajua ile wanaingia mnambiwa laleni chini ahhhhh
Mm bar nshakutana na mikasa kibao kama kauandika kitabu ingekuwa burudan maana kuna majanga na vituko....
Wengine sisi ni watu wa mikasa,utani
Sometime watata.....nlikutana na robert Michael alinielwa Sana

Ova
 
Back
Top Bottom