Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1540][emoji1548][emoji1531]Zote zangu Dah leo rejeta inakasi ya ajabu sana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kiwanja cha ROBERT MICHAEL nimekivamia
Ova
View attachment 888740
Leo naweza kuvunja rekodi ya kunywa biaaaa[emoji1540][emoji1548][emoji1531]
NdiyoZambia?
Fast charging[emoji23][emoji23][emoji23]kama turbo charger
Mkuu hii picha imetoka vizuri sana.View attachment 888715
Moja moto moja baridi!
K asi ya ajabu bia nli zoku[emoji23][emoji23][emoji23]kama turbo charger
Picha inafaa sana kwa tangazo la boasharaMkuu hii picha imetoka vizuri sana.
Ukiwapelekea Serengeti inawaza kulamba pesa
Bwana nimekunywaaa safar ndg n Ying IFast charging
Hyu mhudumu ana mswambwanda balaaaMkuu hii picha imetoka vizuri sana.
Ukiwapelekea Serengeti inawaza kulamba pesa
Hii mada tungepata uzoefu wa mlevi mzoefu ambaye kwa sasa ni mhe Mbunge wa Mara ya pili kwa vyama viwili ndani ya miaka mitano katika jimbo lile la uwanja wa Ndege mkubwa hapa nchini.Kwa heshima kubwa... Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi.. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina...
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo.... Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi... Zile za ofa na hata za kwenye sherehe...
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza....
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Baada ya kubwia ballentines 4, sasa nashushia na juice ndani ya Pestana bub Dom
Katibu wako ntakuibukia huko domBaada ya kubwia ballentines 4, sasa nashushia na juice ndani ya Pestana bub DomView attachment 888802
Haha me mavurugu huwa siwezi kabisa. Napenda sana sehemu tulivu. Hapa Pestana now ndio panabang Dom. Sehemu nzuri sana.Katibu wako ntakuibukia huko dom
Safi sana we unajua kukaa sehemu tulivu
Mm kuna wakati napenda jichanganya seems za vuguvugu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ova
Mm nakunyagwa sehemu yoyote naweza kunywa karembezi etc naweza kunywa kitaaa na masela kuamua tu mkuuHaha me mavurugu huwa siwezi kabisa. Napenda sana sehemu tulivu. Hapa Pestana now ndio panabang Dom. Sehemu nzuri sana.
Haha nimeona Mkuu. Me nikiwa DSM Mara moja moja huwa najichanganya. Vizuri pia.Mm nakunyagwa sehemu yoyote naweza kunywa karembezi etc naweza kunywa kitaaa na masela kuamua tu mkuu
Kuna vibe wakati mwingine tunahitaji [emoji23] [emoji23]
Ona msabwanda humu
Ova
View attachment 888832
Sema bar za kujaza sana nilizikacha maana tushakswakoswa si unajua ile wanaingia mnambiwa laleni chini ahhhhhHaha nimeona Mkuu. Me nikiwa DSM Mara moja moja huwa najichanganya. Vizuri pia.
Mm napenda kujichanganya na masela wakati mwingine na naenjoy sanaHaha nimeona Mkuu. Me nikiwa DSM Mara moja moja huwa najichanganya. Vizuri pia.